ambiliki
Member
- Jun 26, 2013
- 80
- 46
Jana usiku nilimpeleka mgonjwa hosipitalini hapo. Kilichonisikitisha ni gharama kubwa alizo takiwa kulipa. Nilipouliza sababu za kumchaji hivyo wakasema si mzawa. Vipimo ambavyo ni vya kawaida walichaji 150,000. Kulazawa kwa siku moja 500,000 (laki tano).
Mbaya zaidi, wamechukua pesa ya kumuoda dakitari 50,000 na mgonjwa hakuona na dakitari na walikataa kurudish. Hii ni hospitali ya kanisa ila ina ubaguzi wa rangi tena uliopitiliza. Kweli kitanda kwa siku laki tano bei ya hoteli nyota tano hapo bado matibabu kisa si Mtanzania.
Huyu mgonjwa ni mtu ambaye ameishi Tanzania zaidi ya miaka mitano; ameoa Mtanzania anaishi hapa, ila Seliani Hospitali hakuna ubinadamu. Wanathamini pesa kuliko uhai wa binadamu.
Kuna siku nakumbuka walimrudisha mgonjwa mahututi kisa hana pesa. Ndugu waliomba wasaidiwe wakatafute pesa, walikataa katu. Hivi hapa ni vipimo walivyotaka walipwe laki na nusu na pia gharama walizochaji kumuona daktari na dakitari hatukumuona, ilibidi tuondoke na mgonjwa wetu.
Mbaya zaidi, wamechukua pesa ya kumuoda dakitari 50,000 na mgonjwa hakuona na dakitari na walikataa kurudish. Hii ni hospitali ya kanisa ila ina ubaguzi wa rangi tena uliopitiliza. Kweli kitanda kwa siku laki tano bei ya hoteli nyota tano hapo bado matibabu kisa si Mtanzania.
Huyu mgonjwa ni mtu ambaye ameishi Tanzania zaidi ya miaka mitano; ameoa Mtanzania anaishi hapa, ila Seliani Hospitali hakuna ubinadamu. Wanathamini pesa kuliko uhai wa binadamu.
Kuna siku nakumbuka walimrudisha mgonjwa mahututi kisa hana pesa. Ndugu waliomba wasaidiwe wakatafute pesa, walikataa katu. Hivi hapa ni vipimo walivyotaka walipwe laki na nusu na pia gharama walizochaji kumuona daktari na dakitari hatukumuona, ilibidi tuondoke na mgonjwa wetu.