Yani hiki kigezo kilikuwa kinawanyima vijana wengi frusa na ukiangalia kwa asilimia kubwa izi taasi ndo zinabeba idadi kubwa ya vijana upande wa ajira like Uhamiaji, zima moto, migration, TAKUKURU n.k
Walikuwa wanazingua sana, huna kambi za kupeleka vijana wote JKT ila kazi zikitoka unabagua...
FaizaFoxy ukimaliza ichi kisa ulicho anza nacho,
Ningependa kusikia upande wa pili wa Maisha Yako ya ndoa,
Mpaka Leo hii kwa ujumla yawezekana tukajifunza mengi kupitia wew.
Shule sikwenda kusomea ujinga
Daaah uyo mzee alikufa bhana nilipata bahat ya kutubiwa nae baada ya miaka kadhaa kwenda ku renew dawa nikaambiwa mzee alisha kufa, ikabid nitibiwe na mtoto wake japo dawa hazikuwa nzur kama mwanzon
Nilichelewa sana kujua people don’t “play fair” kwenye kupambania.
I have learnt the hard way kwamba kuna muda UNACHEZA RAFU! Otherwise utabaki unaangalia wenzako wanajenga majumba,
wanaendesha ndinga kali, watoto wanasoma shule nzuri etc wewe upo tu. Acha inyeshe tuone inapo vuja welcome...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.