Mwaka 2023 na vituko vyake

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
Habari wakuu,

Mwaka huo unakwisha, kama ilivyo Kila mwaka unavituko vyake.

Kama sio kwa wanasiasa basi ni kwa watu maarufu huko duniani.

Pia kama sio kwa Simba na Yanga basi ni kwa watu wa mbalimbali.

Tupia kituko chako hapa cha mwaka 2023.
 
🤣
 

Attachments

  • FB_IMG_1699796014949.jpg
    FB_IMG_1699796014949.jpg
    49.9 KB · Views: 5
Nilichelewa sana kujua people don’t “play fair” kwenye kupambania.

I have learnt the hard way kwamba kuna muda UNACHEZA RAFU! Otherwise utabaki unaangalia wenzako wanajenga majumba,

wanaendesha ndinga kali, watoto wanasoma shule nzuri etc wewe upo tu. Acha inyeshe tuone inapo vuja welcome 2024 kwa Blessing nyingi
 
Nilichelewa sana kujua people don’t “play fair” kwenye kupambania.

I have learnt the hard way kwamba kuna muda UNACHEZA RAFU! Otherwise utabaki unaangalia wenzako wanajenga majumba,

wanaendesha ndinga kali, watoto wanasoma shule nzuri etc wewe upo tu. Acha inyeshe tuone inapo vuja welcome 2024 kwa Blessing nyingi
Make sure kwenye mapambano hauumizi wengine/upande wa pili or isiwe vitu za kutisha hadi shetani nae akaogopa.
 
Back
Top Bottom