A
Anonymous
Guest
Kuna baadhi ya maafisa wa TRA (TMU) wanatumika na bwana mmoja anaitwa Beno wa kampuni ya Will Logistics, anachokifanya bwana huyo anakodi magari halafu halipi pesa kama inavyotakiwa.
Ukifika wakati wa magari kufikisha mzigo unakataliwa kulipwa pesa yako, kisha unapigiwa simu na afisa wa TMU anakulazimisha ushushe mzigo ambao haujalipiwa ama lasivyo anatishia kusizi magari.
Wakati mwingine Afisa huyo anakukutanisha na Beno ili mfanye makubaliano wakati huo TRA inasimama kama dhamana.
Baada ya gari kushusha mzigo basi jamaa hata simu hapokei na ukirudi TRA hakuna msaada wowote.
Ukifika wakati wa magari kufikisha mzigo unakataliwa kulipwa pesa yako, kisha unapigiwa simu na afisa wa TMU anakulazimisha ushushe mzigo ambao haujalipiwa ama lasivyo anatishia kusizi magari.
Wakati mwingine Afisa huyo anakukutanisha na Beno ili mfanye makubaliano wakati huo TRA inasimama kama dhamana.
Baada ya gari kushusha mzigo basi jamaa hata simu hapokei na ukirudi TRA hakuna msaada wowote.