Shukrani uzi wako! Linux ndio uwanja wa kucheza ngoma zote, Windows zipo ngoma utacheza ila mdundo hautasikika! Ubuntu, Linux Mint na Kali Linux ndio niliowazoea(Hata sasa natumia Ubuntu 16.10)
Hahaha!
Nimekuelewa! Naona nimetumia jibu hasi moja kwa moja!
Kwa ufupi niko kwa watu na ninajionea mwenyewe, wengi hawapendi kujenga utamaduni kama wa nyumbani. Ila tukikutana Sitimbi ndio wa kwanza kukupigia simu muonane! Sio wote wako na tabia hii ila asilimia kubwa ndio mwendo wao.
Kukopa kwa kutumia Credit Card, kwani mwisho wa mwezi lazima urudishe chao. Hii inakua ngumu kwa sababu moja kubwa, mabenki mengi ya Tanzania hayatoi huduma hii kwa watu wote. Sasa ukiwa mbele na ukawa na credit acc/card na umepewa limit ya kutumia mpaka dola 4000 kwenda juu! Watu wengi huwa...
La ziada! Baada ya wote kuwa na toleo jipya la WhatsApp, mnatakiwa A ascan code kutoka WhatsApp ya B kutumia simu! Au kufananisha number ambazo utakazo tumiwa
Download ITunes kutoka kwa website ya Apple, kisha fanya installation. Baada ya hapo weka nyimbo unazotaka ziwepo kwa simu kwenye ITunes. Kisha plug simu kwa pc yako na sync kupitia ITunes.
Natumaini nitakua nimekusaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.