Mbinu za kutozungumza broken English

Mbinu za kutozungumza broken English

Tatizo wewe ndio unataka kutafsiri word to word and not meaning ya sentensi ndio maana utaona kua kuna sentensi hazina tafsiri...

Tatizo letu wabongo tunataka word to word... Ndio maana broken inaingia kirahisi ktk mazungumzo yetu.

".. Baba mimi ni mtoto wangapi kuzaliwa? ".... Sentensi hii ukitaka kuitafsiri word to word tutakesha hapa lakini ukitafsiri mantiki ya sentensi naamini jibu litapatikana,

Hii inaenda sawa kwenye baadhi ya sentensi ulizozitolea mifano hapo juu, wewe unaziona hazitafsiriki ktk lugha nyingine kwakua unataka neno kwa neno, otherwise zina tafsirika sana tu, tena zoote hapo.
Upo sawa sana.
 
Mkuu pamoja na ujuzi wako katika lugha ya kingereza, umetuangusha waswahili wenzako unapotumia neno Subili badala ya Subiri..
Are you serious..
Yes, I am very serious! Katika matumizi ya l au r kwangu huwa ni changamoto sana na hii inatokana na athari ya lugha mama (lugha ya kwanza).

Ahsante kwa kunikumbusha!
 
kuna moja skusikia jbu lake.pale ambapo upo na baba yako unataka kumuuliza"baba mimi ni mtoto wa ngap kuzaliwa ktk familia yetu?" kwa kiingereza sasa.........
 
kuna moja skusikia jbu lake.pale ambapo upo na baba yako unataka kumuuliza"baba mimi ni mtoto wa ngap kuzaliwa ktk familia yetu?" kwa kiingereza sasa.........
In which number am I in the family lineage

Au In which number am I in the family bloodline

Au

Am i the first, second , third born etc
Jibu lilishatolewa hapo juu.
 
Back
Top Bottom