Tangu serikali ianze uhakiki,haki za wafanyakazi zimesimamishwa kama kupandishwa daraja, na increment ya kila mwaka vyote hivi hadi Leo wafanyakazi hatujui ndo vimefutwa hivyo au tuendelee kusubiri. Lakini vyama vya kutetea haki za wafanyakazi vipo na vingine kama CWT kila mwezi wanawakata...
Wana jf mi ni mwanafunzi Wa Kampala university nachukua degree ya pharmacy BUT ninapoingia bord ya mkopo kuangalia kama nimepata mkopo nimekuta hivi YOU'RE NOT ALLOCATED A HIGHER EDUCATION LOAN FOR ANY 2016/2017 IN THE FIRST BATCH.
Sasa wadau haya maneno yana maana sijapata mkopo kabisa au...
Waganga hawatatui matatizo hayo unayoona bali atakuongezea matatizo. Kwa sababu giza na giza vikikutana jibu lake ni giza totoro, wewe unahitaji nuru ili uondoe ilo giza na nuru inapatikana kwa Mungu pekee tu . OMBA SANA, KANISANI NENDA, NA SOMA SANA NENO LA MUNGU
Tunapo weka habari kama hizi zinazogusa taifa kwa ujumla ni vizuri utuambie chanzo cha habari hii, kama tamko hili kalitoa kwenye gazeti utuambie au kwenye vipindi vya tv utuambia ili tuwe na uhakika na kile unachokisema. Waziri amesema, amesema wapi? Katumia njia gan kusema ilo jambo. Ni...
Maana yangu ni hii tukitegemea nyongeza ya mshahara hatutafanya kazi maana haipo, saivi wafanyakazi tufikiri namna ya kujiongezea kipato kama unaeneo la kulima lima, kama unaweza kufunga funga,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.