From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,827
Kama kumwambia Mungu shida zako umeshindwa basi nenda kwa mwanadamu aliyeumbwa na Mungu.
Mganga wa kweli anaweza kukusaidia kweli ni Yesu ukimpata huyo basi ngoja nikusaidie jinsi ya kumpata.Nina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
mkuu kama kweli upo siriasi njoo pm nikupe mawasiliano ya mtu umtafuteNina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
Mambo sasa hivi si mambo kila mtu analia njaa cha kufanya muombe tu Muumba wako akufanyie wepesi
Yupo iringa sehem gannjoo iringa kunamzee anakaa vjijini akisha kushulikia ndiounampa hela
Sijasems naumwa kichwa wala mifupa mkuu bJaribu pale MOI ...Muhimbili..wako mabingwa wa vichwa na mifupa...Usiache pia kumuomba Allah ajaalie wepesi katiks matibabu yako.
KivipHautabaki salama... Usije ukadhubutu mkuu.
Sawa mchungaji mi ntakutafuta upo wapNdg Mimi ni mchungaji naomba nikusaidie na hizo hali unazoziona hauta ziona tena, 0756060183
mkuu kwa iringa usithubutuYupo iringa sehem gan
Ndiyo maana nikamalizia kwa kusema usisahau kumuomba ALLAH (MUNGU)ajaalie matibabu yako.Hayo matatizo yako ni ya kifkra na fikra huanzia kichwani au inaongozwa na Kichwa na huko MOI wapo mabingwa wa vichwa.Ukishakuwa na mawazo hayo ya TOBOATOBO basi ujue kichwa imekuwa mbaya.Sijasems naumwa kichwa wala mifupa mkuu b
nlipokokuwa mdogo nakumbuka kulikuwa na matatzo flan katika familia mimi na father tukafunga safar ya kwenda songea mbamba-bay kule kulikuwa na wataalam sana haswa wa kimalawi....sijui kama bado wapo so tafta mwenyej wa huko!Nina matatizo ambayo siyaelewi kabisa yamenitokea na yameendelea kuwepo!!Na mambo yangu hayaendi sawa sawa katka kila kona ya maisha yangu!! Nahis kuna nguvu Kali zinanizonga nahitaji mtaalam syo hawa wanaojitangaza wenye njaa! Wanalaghai tu watu nahitaji mganga wa kweli asiyefanyia dhiki ya hela!! Kama kuna mtu ameshawahi kupata ufumbuzi au anamjua !! Au alikua na shida nayey akatatuliwa !! Msaada!!
Natanguliza shukrani !!
Mkuu unamsaidia wewe au anasaidiwa na jina lipitalo majina yote kupitia kwako?Ndg Mimi ni mchungaji naomba nikusaidie na hizo hali unazoziona hauta ziona tena, 0756060183