Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 126
Hivi inakuaje mtu anajiuzulu uongozi tena kwa ridhaa yake yeye, na akaombwa asifanye hivyo asubiri uchaguzi upizte, bado akalazimisha na anakumbwa na maisha magumu mtaani anajirudisha na baadhi yetu sisi tunamtaka arudi? Uwiiiiii! napiga mayowe na mshangao wa ajabu.
Wallah nimegundua na kupata jibu ni kwanini tuko mpaka Leo! Hii haipo duniani na naiona nchini mwangu tu.Kwa hakika tuna safari ndefu sana sana sana.
Huyu mtu inawezekana aliambiwa "fanya hivyo na baadaye utarudi kwenye nafasi yako maana hakuna atakayekuzuia na tutakusaidia" Sasa limetimia na kweli anapewa msaada wa kurudi ili wagombane vizuri.Aaaaahaaaa hakyanani nimeipenda sana hii.
Wallah nimegundua na kupata jibu ni kwanini tuko mpaka Leo! Hii haipo duniani na naiona nchini mwangu tu.Kwa hakika tuna safari ndefu sana sana sana.
Huyu mtu inawezekana aliambiwa "fanya hivyo na baadaye utarudi kwenye nafasi yako maana hakuna atakayekuzuia na tutakusaidia" Sasa limetimia na kweli anapewa msaada wa kurudi ili wagombane vizuri.Aaaaahaaaa hakyanani nimeipenda sana hii.