Recent content by Amanikwanzaa

  1. Amanikwanzaa

    Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

    Mleta mada acha nongwa, nawewe fungua LA kwako, unaeneza uongo na unachafua akili za wazembe, leta mada za kutuweka pamoja katika Taifa letu.
  2. Amanikwanzaa

    Kosa juu ya kosa: Kusogeza mkutano mbele, ni kuwapa nafasi ya kujipanga wapinzani wako.Bora tu ujitoe umeshakosea

    Ila Mr slow+Mrs ushungi= Mungu Awalete pamoja bila Mungu Kuna Mmoja Atadumu na Jeraha Moyoni Mpaka Anaagwa Duniani.
  3. Amanikwanzaa

    Naomba ushauri ndugu zangu

    Bila shaka umenimis njoo inbox
  4. Amanikwanzaa

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Ona sasa, nilikuomba sana ukanigomea mpaka nikabadilisha ... kwa aibu ili usinifahamu, karibu tenaa
  5. Amanikwanzaa

    Nimekaripiwa kazini leo, kwa uzembe wa kusababishiwa

    Ninaowaongoza wananielewa vema, kwenye kazi natumia lugha ngumu kidogo, ila nje ya kazi mambo ni byee, pole ndugu jaribu kutengeneza mambo yakae sawa ili ujiepushe kuumizwa tena.
  6. Amanikwanzaa

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Ni mama wa pekee na ni mtoto wa pekee, Lazima nguvu ya upendo iwepo kila upande, lipa madeni na ishi nae, then kuwa nae karibu kama biashara yako.
  7. Amanikwanzaa

    Heche ndo Kaimu Mwenyekiti CHADEMA kwa SASA! Ndo hatari zaidi

    Siasa ni nzuri ukiwa na wanaojielewa.
Back
Top Bottom