Recent content by Amanikwanzaa

  1. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

    Mleta mada acha nongwa, nawewe fungua LA kwako, unaeneza uongo na unachafua akili za wazembe, leta mada za kutuweka pamoja katika Taifa letu.
  2. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania Kosa juu ya kosa: Kusogeza mkutano mbele, ni kuwapa nafasi ya kujipanga wapinzani wako.Bora tu ujitoe umeshakosea

    Ila Mr slow+Mrs ushungi= Mungu Awalete pamoja bila Mungu Kuna Mmoja Atadumu na Jeraha Moyoni Mpaka Anaagwa Duniani.
  3. Amanikwanzaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa, hapa kuna upendo kweli au napotezewa muda?

    Njoo nikuoe.
  4. Amanikwanzaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri ndugu zangu

    Bila shaka umenimis njoo inbox
  5. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania Mbeya CHADEMA waandamana kwenda ofisi ya RPC kumsaka Mdude

    chips mayai
  6. Amanikwanzaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rasmi nimeachana na mapenzi

    Ona sasa, nilikuomba sana ukanigomea mpaka nikabadilisha ... kwa aibu ili usinifahamu, karibu tenaa
  7. Amanikwanzaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mnaharaka sana wakati wa kufanya mapenzi, na hamna ubunifu, shida ni nini?

    Kuja inbox
  8. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania Nimekaripiwa kazini leo, kwa uzembe wa kusababishiwa

    Ninaowaongoza wananielewa vema, kwenye kazi natumia lugha ngumu kidogo, ila nje ya kazi mambo ni byee, pole ndugu jaribu kutengeneza mambo yakae sawa ili ujiepushe kuumizwa tena.
  9. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Ni mama wa pekee na ni mtoto wa pekee, Lazima nguvu ya upendo iwepo kila upande, lipa madeni na ishi nae, then kuwa nae karibu kama biashara yako.
  10. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania Heche ndo Kaimu Mwenyekiti CHADEMA kwa SASA! Ndo hatari zaidi

    Siasa ni nzuri ukiwa na wanaojielewa.
  11. Amanikwanzaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kukamatwa Kwa Lissu Mbele Ya Wafuasi wake ni Ushahidi kuwa CHADEMA haina nguvu ya Umma na wala haiwezi kuzuia Uchaguzi kwa nguvu ya Umma

    Watu wapo na lisundi, ila ndani yao kuna roho ya kitanzania sio ya kenya.
Back
Top Bottom