Hi jf naomba kuuliza hivi kama MTU mlishaachana kwa sbabu kataka yeye koz eti mko mbali na wakati hakujua kazi na wasifu wako katika jamii afu baada ya kama miaka miwili akajua upon university na hujaoa ,na akatafuta contact zako akazipata na akakupata hiv inawezekana kurudiana naeeee,na wakati...
Habari mkuu naomba kuuliza, ninawezaje kuongeza urefu , ukubwa na uimara wa penis yangu hadi inchi 6.5 maana penis fupi inch 4.0, sipat raha kabisa ya tendo la ndoa, tafadhali naomba msaada wowote hata ushauri au solution ntashukur sana, wahusika weny elimu kuhus mambo ya uzazi nisaidien niko...
Duuh ebana pole sana but cha kufanya jitaidi kwa kila hali uzungumze na x wako maana dawa ya moto ni moto hata kama ni mkali/mkubwa kiasi gani, na utakapoendelea kuongea naye hata stori za kawaida na sio mapenz ndipo taratibu tatizo litakuwa linaishia polepole, amini hili na hakikisha...
Hey jamani, hiv ni perfume na lotion ipi ambayo ni special kwa mwanaume kuitumia maana zinanishinda kuditamaini, so naomba nisaidiwe kutoka kwa specialists people waliosomea haya, asante.
Jamani nini dawa ya kumaliza kabis tatizo la fangas sehem za siri make zinawasha mno ni hatariii, so naombeni msaada juu hili watalaam wa maswala ya uzazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.