Alipata zero angekuwa ameshatumbuliwa na cheti feki...kwanza ujue ni afisa biashara wizara ya viwanda...,usituletee umalinzi hapaNikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Mayai amekuwa nahodha wa timu ya taifa, leo anatokea kijusi mmoja anauliza kafanya nn kwenye soka!!!!!Kuwa mchambuzi wa habari za michezo kwenye TV haitoshi kumpa Ali Mayai dhamana ya kuendesha Moira TZ. Amefanya nini kwenye ulimwengu wa soka zaidi ya kucheza na kuchambua michezo?
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Malinzi ni chemical engineer
Alipata zero, sawa. Baadae aliacha mpira akarudia mtihani akafaulu, akaenda CBE (Advance Diploma) then Mzumbe Masters in Businness Administration. Unataka kutuambia nini?Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Mkuu kamati ya uchaguzi si ipo mbona mna hofu
Ila mbona uko huku Uzi wa Ally usiende huko ambako kuna washindani wa malinzi hofu nini hasaKwani malinzi ndie pekee anaegombea nae? Unaweza kuta mshindani wa malinzi akawa wala sio huyo Mayay hivi uwaoni kina madega na nyamlani! Huyo mayay mnamshabikia nyie msiopiga kura wenzenu uko hawana hata time nae.
Tuwekee vigezo vya kuwa mgombea hivi Moira ndo uchafu ganiKuwa mchambuzi wa habari za michezo kwenye TV haitoshi kumpa Ali Mayai dhamana ya kuendesha Moira TZ. Amefanya nini kwenye ulimwengu wa soka zaidi ya kucheza na kuchambua michezo?