Wanaume kuweni na huruma kidogo

Wanaume kuweni na huruma kidogo

Mm npo chuo sasa sa nyngne hua anakuja kunchukua, sasa c unajua mambo ya wanachuo wakishaona gari zuri bs lazma wajipitshe, sasa wale wenye misambwanda ndio hua anawaangalia kweliii mpk nawaza cjui nmuache kwan nshagombana nae sn
Bibie nimeona tatizo lako hujiamini, hivi unafikiri huyo mumeo/mpenzi wako mpaka anakutongoza hakuona hiyo misambwanda? na kizuri umekiri mwenyewe hao wenye misambwanda wanaishia kuchezewa tu. Alafu kumbuka kila mtu hutamani kile asichokua nacho, kuna wenye msambwanda hapo chuoni ulipo wanatamani kua flat sababu mwenye flat (wewe) unakuja kuchukuliwa na gari na wao wanapiga ngoko. Jiamini hakuna binadamu asiye na tamaa kikubwa ni Heshima basi. NB:- Jamaa akikupiga chini kisa msambwanda nitafute upate tulizo la moyo.
 
Jamanii polee ila jitahid kula haki utakuja
Unamshauri mwenzako vibaya ujue, mwishowe apate na kitambi bure + flat ndo iwe balaa mara mbili. Kama Mungu hajampa huo msambwanda atulie tu, tuko sisi tusiopenda hiyo misambwanda tutamuona.[emoji2] [emoji2]
 
Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita

lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
Zamani nilikuwa napata shida nikiwa na baba chanja ukipita msambwanda lazima ageukee hata mlichokuwa mnaongea kinapitea, sikuhizi naona kawaida akipita mwenye zigo namwambia baba angalia tu kuwa na amani. Huwa anacheka saana .
 
Zamani nilikuwa napata shida nikiwa na baba chanja ukipita msambwanda lazima ageukee hata mlichokuwa mnaongea kinapitea, sikuhizi naona kawaida akipita mwenye zigo namwambia baba angalia tu kuwa na amani. Huwa anacheka saana .
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huwa tunafurahisha macho tu wala hatuna kazi nayo.
 
Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume

Kumbe hukujaaliwa mkia! Pole sana!
 
Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
Jamani kumbe tayari una mume sasa unatakaje tena au weka picha humu na namba uone kwamba utaachwa
 
Nataman kila cku msambwanda ila Mungu hajanijaalia inabd tu niridhike ntafanyaje
usiogope, huwa ni kawaida yetu kuduwaa tukiona msambwanda wa haja umepita mbele ya macho yetu, huwa hatutamani bali tunafurahia "neema za uumbaji" kwa macho tuu...😀😀 😛 🙄
 
Habari wanajukwaa, polen na majukum.
Niende moja kwa moja mwenye topic,.
N kuhusu wanaume wa siku hz kupenda wanawake wenye misambwanda mikubwa kiukweli sisi ambao hatuna misambwanda tunaumia sn, kwan hao wenye misambwanda mikubwa wana tofauti gan na sisi wenye misambwanda midogo? Utakuta upo na mumeo ila akiona tu msambwanda mkubwa umepita lazma ageuke na anabadilika kabsa sura cjui anakua anapata hisia gan sijui, yaan mnatufanya mpk tunaanza kujiingiza kwenye kuanza kuyabust mwisho wa cku tunaishia kutumiwa bila kuwekwa ndan na michina yetu. Huu si uungwana kabsa hebu badiliken wanaume
Usiumie. Msambwanda ni msambwanda tu bora uwepo
 
Back
Top Bottom