Recent content by Am blessed

  1. A

    Happiness? where are you?

    Very touching,Asante Mungu na tafadhali turehemu
  2. A

    Hivi Hawa Waume Za Watu Wake Zao Vipi Jamani????

    Waambie mama mi staki hata kuwaskia cz nshakuwa victim,,,, hayana hata aibu, kwa kweli I better die alone kuliko kuwa na limme la mtu
  3. A

    Abortion

    Nenda kanisani au msikitini ukatubu maana kwa kuwaza tuu kuua kiumbe ni dhambi, nimesoma hadi nimeogopa Mungu akupe ofu yake
  4. A

    Wanaigeria wamweka kiti moto diamond kwa kuvaa vibaya kwenye arusi ya peter wa p-square

    Nachukia umaarufu kama huu kuliko chochote, Mungu nisamehe ila I better die alone than getting married with the so called celebrity, mpaka naskia hasiraaa
  5. A

    Mitindo mbalimbali ya vitenge

    Classment oyeeeeee, beautifull
  6. A

    Past yake inanirudisha Nyuma, Nashindwe niondoke vipi?

    Samahani ila mtoa mada umefanya nipate hasira na kukuchukia maana umeshapata unachokitaka ndo unaanza kutoa kasoro hivi mtabadilika lini jamani wanaume
  7. A

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

    Duuuuh! Unachotamani natamani kingenitokea kabla ya leo maana nisingeangaika na hzi stress za ndoa
  8. A

    Wachaga Special Thread

    Nyisembo tee leechi ta kindo lichaaamba
  9. A

    Wachaga Special Thread

    Nimependa ulivyofafanua na umenifanya nicheke kwa hilo neno " mbiidi" nimekumbukwa linavyitamkwa nikacheka
  10. A

    Mwenza/Mpenzi wako akufanyie nini hili aufurahishe moyo na nafsi yako.

    Anijali tuu hata kwa maneno tuu inatosha kunichizisha
  11. A

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    Tabia tuu za mtu, everybody has got her exceptional qualities, na wanaume muache mtazamo hasi,
  12. A

    Kuolewa

    Ninavyoamini kuolewa nikusign death sentence and putting yourself in death row untill God knows when!
Back
Top Bottom