We ought to learn to count our blessings...God we ask you to reveal yourself more to people who need you the most. Amen.
Wanasiasa ndio wanasababisha yote haya, wanachochea machafuko, tunaanza kupigana sisi kwa sisi, mwisho wa siku wao na familia zao wanakimbilia ughaibuni na kutuacha tukipambana na matatizo kama haya! Ukimuona mwanasiasa anayependa mchochezi kaa naye mbali sana!
The world is not fair..
And will never be fair
The world is not fair..
Dunia ipo sawa sawia...
maombi yanahitajika