Recent content by Alvajumaa

  1. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu mwanajeshi amepata wapi hizi fedha za kuinunua Namanga Makangira?

    Duuh kasheshe
  2. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi hata kuuza duka nimesomea ufundi mitambo (mechanical engineering) mkoa wa dar es salaam

    Kama umesoma Mechanical Engineering usikae tuu Mkuu, andaa CV Nenda Kigamboni kuna kiwanda cha magari peleka, kuna kiwanda cha board peleka, Usikae tuu sambaza CV hizo
  3. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Deni limenifunga kazini nataka kutoroka nikalipe kidogo kidogo

    Waeleze ukweli tuu, ukikimbia siku nyingine utakosa msaada ukiwahitaji
  4. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Apumzike kwa amani, pole sana kwa wafiwa
  5. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania KERO Je hakuna namna ya kuwadhibiti madalali?

    Madalali ni watu makatili sana, wana tamaa ya kupata kingi na kwa haraka
  6. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania KERO Je hakuna namna ya kuwadhibiti madalali?

    Madalali ni watu makatili sana, wana tamaa ya kupata kingi na kwa haraka
  7. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Duuh
  8. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Mwenye Nyumba Mkorofi na Majungu Yake

    Ni muda sasa ujenge nyumba yako Masta
  9. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Daah … hii Jamii Forum mpya ni ngumu sana kutumia
  10. Alvajumaa

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Sasa itakuaje?
Back
Top Bottom