Basi gani linaingia saa 1 na barabara zp zna mashimo huenda upo kijijn kwenu ndo unawaza uingie mza. Rock City Home pazuri kinyama achaga uboya wa kuleta nyuzi zisizo na maana mshamba wewe.
Kuna haja kubwa na kakobe aendeleze hiyo series sis sio wajinga kama anavyofikiria peleka ndan kwanza ili atoke mwaka kesho ana jeuri ka nchi ya kwake huyu Mzee kanywa pombe ambayo n gongo grade one
Alisema hataki chai ya ikulu, hataki pesa coz ana pesa kuliko serikali na anaweza kukopesha hata mawazir sasa mbona kauli yake iko wazi sana Me naona TRA fanyen kazi yenu mpaka source zote za huo utajil. Na huyu Mzee asijifanye n mkubwa kuliko serikali. Bible imesema heshimuni mamlaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.