NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Anataka ya serikaliSt. Pio Kibaigwa Hapo Ipo Fresh Sana
Anataka ya serikaliSt. Pio Kibaigwa Hapo Ipo Fresh Sana
Njoo pm mkuuWadau wa Jf ,nina mtoto wa kike kamaliza darasa la saba , sasa wamempaga shule ya kata ,shule yenyewe haifanyi vizur kabisa,na mtoto wangu uwezo wake ni mzuri kiasi ,amepata wastan wa B ,kwa maana ya
Eglish A
Kiswahili A
Hisabati B
Sayansi C
Study's c
Kwa matokeo hayo natamani nipate shule ya govement ya bonding na iwe ya girls. Ambayo ni nzuri ,napendekza mikoa minne ,singida ,arusha, moshi, na manyara ,au dodoma pia ,mm nipo manyara ,babati mjini,
Nisaidie kujua shule nzuri na kuweza kumpeleka mtoto ,maana hata yeye anasema baba mm nataka kusoma sana lakin nitafutie shule nzuri ya bonding, shule aliye chaguliwa ni ya day ,kata, Asante mwenye kufahamu shule nzuri anisaidie jina la shule ,kama unamawasiliano ya shule husika pia nitashukuru sana ,
Mkuu kuna watoto wamepata A na wamepangwa shule za ajabu, pole sana.Wadau wa Jf ,nina mtoto wa kike kamaliza darasa la saba , sasa wamempaga shule ya kata ,shule yenyewe haifanyi vizur kabisa,na mtoto wangu uwezo wake ni mzuri kiasi ,amepata wastan wa B ,kwa maana ya
Eglish A
Kiswahili A
Hisabati B
Sayansi C
Study's c
Kwa matokeo hayo natamani nipate shule ya govement ya bonding na iwe ya girls. Ambayo ni nzuri ,napendekza mikoa minne ,singida ,arusha, moshi, na manyara ,au dodoma pia ,mm nipo manyara ,babati mjini,
Nisaidie kujua shule nzuri na kuweza kumpeleka mtoto ,maana hata yeye anasema baba mm nataka kusoma sana lakin nitafutie shule nzuri ya bonding, shule aliye chaguliwa ni ya day ,kata, Asante mwenye kufahamu shule nzuri anisaidie jina la shule ,kama unamawasiliano ya shule husika pia nitashukuru sana ,
INAWEZEKANA NI CONNECTION TUU...nilihama advance azania nilikuwa day nikahamia iyunga tech bweni......ILA KWA MIAKA HII NI BORA AJIKAMUA AMPELEKE PRIVATE TUU SERIKALINI HAKUNA KITUHawezi kutoka day aingie boarding na sio bonding ndg, sheria hiyo imekuwepo muda mrefu sasa kwa government labda apate shule day lakini zina hostel .vinginevyo mpeleke za binafsi private japo kupata nzuri muda huu umeshachelewa sana
Mlete Arafah islamic seminary secondary school ipo Tanga mjini.Wadau wa Jf ,nina mtoto wa kike kamaliza darasa la saba , sasa wamempaga shule ya kata ,shule yenyewe haifanyi vizur kabisa,na mtoto wangu uwezo wake ni mzuri kiasi ,amepata wastan wa B ,kwa maana ya
Eglish A
Kiswahili A
Hisabati B
Sayansi C
Study's c
Kwa matokeo hayo natamani nipate shule ya govement ya bonding na iwe ya girls. Ambayo ni nzuri ,napendekza mikoa minne ,singida ,arusha, moshi, na manyara ,au dodoma pia ,mm nipo manyara ,babati mjini,
Nisaidie kujua shule nzuri na kuweza kumpeleka mtoto ,maana hata yeye anasema baba mm nataka kusoma sana lakin nitafutie shule nzuri ya bonding, shule aliye chaguliwa ni ya day ,kata, Asante mwenye kufahamu shule nzuri anisaidie jina la shule ,kama unamawasiliano ya shule husika pia nitashukuru sana ,
Ada zetu ni nafuu sanaaa, pia unalipa kwa awamu tatu.Mkuu kuna watoto wamepata A na wamepangwa shule za ajabu, pole sana.
Mimi mdogo wangu amepata A nne isipokua English ndo kapata B na kapangwa shule kimeo tena day school na ni wa kike, imeniuma sana.
Ahsante.., ni kweli nimechanganya Madesa hapo!Weruweru sio vipaji maalumu...za vipaji ni tabora girls,kilakala na msalato plus na kisimiri though ni mixture
Kitaalun mpoje!?Mlete Arafah islamic seminary secondary school ipo Tanga mjini.
Kwa elimu na maadili bora kwa kijana wako, kuna shule ya arafah boys ipo mkabala na ofisi za tigo makao makuu tanga mjini, na ipo arafah ya waschana ipo mtaa wa msambweni Tanga mjini.
0718754110
0788685390
0767036797
0625593405
Karibu sana arafah islamic seminary secondary school.
Yaliyopo arafah.
Katika upande wa dini tunahifadhisha QURAAN na hadithi za mtume, bado hujachelewa .
Shule yeyeto ya serikali inayochukua watoto wa jinsia moja tu huingia kwenye category hii ya Shule maalumu.Weruweru sio vipaji maalumu...za vipaji ni tabora girls,kilakala na msalato plus na kisimiri though ni mixture
Anataka ya serikarini,iyo ya Mazinde ni ya PrivateMpeleke St Mary's Mazinde Juu Lushoto Tanga
Iyo ada ya chini sana ni kiasi ganiShule zote za bweni za serikali wamechukua pure/cream kabisa yaani wenye wastani wa A...kama unataka mwanao asome vizuri adjust bajeti yako mpeleke private...kwa hapo kwako Manyara uanweza mpeleka hapo St.Pio Kibaigwa ni wazuri na Ada zao zipo chini sana.
Wangu kapata A zote tano wamempangia shule ya kata tena ya day cna hamu kwa kweliShule nzuri za Serikali ni:
I/ Vipaji Maalum kama Tabora girls, Weruweru etc
2/ Shule za Ufundi kama Tanga, Moshi etc
3/ Za Bweni kama Songea na Korogwe girls etc
Ila bahati mbaya wote hao wamechukuwa wastani wa "A" hivyo ili upate nafasi ni lazima uvae Shati la Mikono Mirefu!
Polee sana Mkuu, kuna kautaratibu ambako si rasmi lakini ndo wanafanya hv sasa yani wanawapa Kipaumbele sana Wanafunzi waliopo kwenye Mkoa ambamo Shule hiyo ipo, hivyo nafasi zikibaki ndo wanachukuwa kwenye Mikoa mingine..,Wangu kapata A zote tano wamempangia shule ya kata tena ya day cna hamu kwa kweli
Inabidi tupambane na hali zetu kwa kweli.Polee sana Mkuu, kuna kautaratibu ambako si rasmi lakini ndo wanafanya hv sasa yani wanawapa Kipaumbele sana Wanafunzi waliopo kwenye Mkoa ambamo Shule hiyo ipo, hivyo nafasi zikibaki ndo wanachukuwa kwenye Mikoa mingine..,
Mwaka Jana na mm nilikuwa Mhanga wa hilo ila nashkuru nilimpeleka Technical school, nafasi huwa zinakuwepo coz wengi wanaochaguliwa wanaenda Private!
Naaam.., hicho ndo kilichobaki na ndo suluhu ya Matatizo!Inabidi tupambane na hali zetu kwa kweli.
Vyuma vimekaza and ze girisi iz not izile foundi nawadeizi.Wadau wa Jf ,nina mtoto wa kike kamaliza darasa la saba , sasa wamempaga shule ya kata ,shule yenyewe haifanyi vizur kabisa,na mtoto wangu uwezo wake ni mzuri kiasi ,amepata wastan wa B ,kwa maana ya
Eglish A
Kiswahili A
Hisabati B
Sayansi C
Study's c
Kwa matokeo hayo natamani nipate shule ya govement ya bonding na iwe ya girls. Ambayo ni nzuri ,napendekza mikoa minne ,singida ,arusha, moshi, na manyara ,au dodoma pia ,mm nipo manyara ,babati mjini,
Nisaidie kujua shule nzuri na kuweza kumpeleka mtoto ,maana hata yeye anasema baba mm nataka kusoma sana lakin nitafutie shule nzuri ya bonding, shule aliye chaguliwa ni ya day ,kata, Asante mwenye kufahamu shule nzuri anisaidie jina la shule ,kama unamawasiliano ya shule husika pia nitashukuru sana ,
shule ya wachumia tumbo hii.Mlete Arafah islamic seminary secondary school ipo Tanga mjini.
Kwa elimu na maadili bora kwa kijana wako, kuna shule ya arafah boys ipo mkabala na ofisi za tigo makao makuu tanga mjini, na ipo arafah ya waschana ipo mtaa wa msambweni Tanga mjini.
0718754110
0788685390
0767036797
0625593405
Karibu sana arafah islamic seminary secondary school.
Yaliyopo arafah.
Katika upande wa dini tunahifadhisha QURAAN na hadithi za mtume, bado hujachelewa .