Recent content by ALPHAYO13

  1. ALPHAYO13

    Is this real?

    girls are so cheap Surely my dear. Wanawake ndio maana wanadanganyika kwa urahisi. No wonder shetani aliamua kumdanganya kwanza Hawa katika Maandiko matakatifu. Unajua Adam asingekubali upuuzi wa hsteani! Sasa mtu humjui historia yake, iweje ujiweke rehani kwake? Akikuchinja je? Dada ulihitaji...
  2. ALPHAYO13

    Nimempenda msichana mmoja tukiwa lecture sababu ya titi

    Kweli bhana. Mbona mi mke wangu pia nilimuoa wakati titi limesimama, lakini sasa limelala. Sababu inajulikana kwa wenye wake zao.
  3. ALPHAYO13

    Picture: Tanzania Boys Win 2014 Street Child WORLD CUP in BRAZIL

    Dah! Hiyo ngumu kujua bana! Lakini imani yetu ni kuwa hawa ni madogo wa street! Wameula hawa. No longer street children. Dunia bana usikate tamaa. Jitumeni madogo wengine, sio mnalala tu :sleep::sleep:
  4. ALPHAYO13

    Selection za matokeo ya kidato cha nne mwaka 2013

    Usipopata, we nenda Private schools. Zipo nyingi ili mradi tu uwe na minimum qualifications.
  5. ALPHAYO13

    Magari yateketezwa kwa moto

    Nani kahusika Mkuu? Naomba utupe kinaga ubaga. Na ni kwa nini hasa?
  6. ALPHAYO13

    Part time teacher of Economics in DSM

    Wakuu, mimi ni mwalimu wa somo la Uchumi. Tayari nina ajira yangu hapa Dar es salaam. Kama kuna mwanafunzi anahitaji mwalimu wa ziada (tuition) kwa ajili ya somo hili, au kama kuna Taasisi inahitaji mwalimu wa part time kwa somo hili, naomba mni PM au mawasiliano namba 0712 682 475. Asanteni kwa...
  7. ALPHAYO13

    kuna wanawake hawakatai

    Kweli asee! Mambo gani ya kuzungushana hayo wakati kama ut.... na yeye anapata!
  8. ALPHAYO13

    sugar mammy

    XYZQYUUKWTIXYXYXYX!:A S tongue: Unataka ukampe na vya kwako?
  9. ALPHAYO13

    Mmetusema sana hatuolewi Na ndo tunaolewa sasa! Nani Kanuna?

    Mimi nakuogopa mwe! Mimi ni mume wa mtu. Hivi kumbe sisi ni watamu enheee?!1?
  10. ALPHAYO13

    Sababu ya wanaume kutoka nje ya ndoa

    Hivi ni kwa nini hujauliza sababu za wanawake kutoka nje ya ndoa? Au ni wanaume tu ndo wanaotoka!!!???
  11. ALPHAYO13

    Mamilioni ya vijana nchini wanaishi na VVU - Wasichana wanaongoza kwa maambukizi

    Kweli inatisha wakuu! Tuache ngono zembe. Kweli ugonjwa uko pahala pabaya, lakini tujiepushe nayo!
  12. ALPHAYO13

    Wanaume wenye sura hii kwa kupenda WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA hawajambo…!

    Mwanaume gani hapendi wo wo wo bana? Tusiyeyushane hapa. Na wala mie sina sura kama hiyo!
  13. ALPHAYO13

    Part time teacher wa economics anapatikana hapa

    Habari zenu waungwana? Kama kuna mtu au shule inahitaji mwalimu wa part time wa Economics nipo hapa Dar es salaam. Uzoefu wangu ni miaka 12 ya kufundisha kwa mafanikio makubwa katika shule kubwa.
  14. ALPHAYO13

    Siombi kazi tena....Mnfyuuuuusssss!!!!

    Xaxa usifyonye watu bana! Kuna waliotajirika kwa kazi za kuajiriwa hizo hizo hebo!
Back
Top Bottom