Sababu ya wanaume kutoka nje ya ndoa

Sababu ya wanaume kutoka nje ya ndoa

Hivi ni kwa nini hujauliza sababu za wanawake kutoka nje ya ndoa? Au ni wanaume tu ndo wanaotoka!!!???
 
Msimsingizie shetani.........mbona huyo Shetani hakutumi ukaibe Benki

anakutuma kuparamia papuchi tu


Tatizo la kutumwa na shetani huwaga haliishi hata ukiomba msamaha kwa kosa ulilofanya akikurudia unalifanya tena. Nakumbuka nimewahi kusuluhisha mgogoro wa ndoa muhusika akadai amepitiwa na shetani, nikamwambia nashindwa jinsi ya kukuombea msamaha kwa sababu sina uhakika kama shetani akikupitia tena hutorudia kosa. Ni upuuzi mtu kumsaliti mwenzako halafu ukamsingizia shetani.
 
Kutoka nje ya ndoa ni tabia ya mtu tu mwenyewe.
Hivi ndo Mungu amewabariki na huyo mtoto, hutaki yeye huyo mtoto apendwe jamani.
Halafu mtoto hasa akiwa mdogo anahitaji care kubwa sana hasa ya mama mzazi. Sasa ukimwona mkeo anamshughulikia mtoto kila saa basi ndo akili yako inakuambia mapenzi yamehamishwa hivyo unaanza kujihalalishia kutoka nje ya ndoa.
 
Tatizo la kutumwa na shetani huwaga haliishi hata ukiomba msamaha kwa kosa ulilofanya akikurudia unalifanya tena. Nakumbuka nimewahi kusuluhisha mgogoro wa ndoa muhusika akadai amepitiwa na shetani, nikamwambia nashindwa jinsi ya kukuombea msamaha kwa sababu sina uhakika kama shetani akikupitia tena hutorudia kosa. Ni upuuzi mtu kumsaliti mwenzako halafu ukamsingizia shetani.

Umeona enhee...ile kitu unakuwa Conscious kabisa unavua nguo unajijua

pole kwa uliyokutana nayo I hope mambo ni poa sasa
 
Back
Top Bottom