Mkuu hata ukiomba kwa mungu lazima uangalie mazingira ukijichanganya tu kazi bure nipo saizi job nimetest kuimbisha mfanyakazi mwenzangu nimekubaliwa yaani wanawake ni pasua kichwa
Halooooo kama unaomba kwa kujaribu nami nakubali kwa kukujaribu......kabla hata hujahema nakupiga mzinga nikiona unashangaaaa nasepa!!!!
Kweli asee! Mambo gani ya kuzungushana hayo wakati kama ut.... na yeye anapata!Ni wazuri mimi nawapenda sana hakuna kuzungushana
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
Sijazidi mkuuu kuwa ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia alipie ghalama za out
Uangalie na vitu vya kuomba kwani vina madhara yake !!!!!tabia ya kuombaomba sio mbaya ila ya kutoa ukiombwa ndio mbaya? hovyoooo!!
imekugusa nnAmeona labda una vitabia hivo
na wewe upo katika hao nn mbona hueleweki .Endelea kuomba omba utapewa vyote
Uangalie na vitu vya kuomba kwani vina madhara yake !!!!!
Mimi hunipigi mzinga wowote, nakuomba unanipa then nasepa nakuacha ukinikumbuka
Ukipewa bila kuomba ndio tatizo, sas unaomba alafu unategemea, alichopewa na mungu kumnyima mwenzako
Nimepotea njia hapa!
Nipo kuzimu au?
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani