Aisere msaada tutani kuna nafasi ya Management officef 11 ya hazina wametoa ...na vigezo wanahitaji mtu aliyesoma pamoja na Accounting...Mie nimesoma.Bcom Accounting ..nikiapply inanikatailia..sijui shida itakuwa nini
Mie nataka kujua hapo...
Hivi mfano unaambiwa utapigwa simu....Na bahati Mbaya muda wanakucheki uko sehem ambayo haina network au hujapokea kutokana na majukumu mbalimbali.
Je kuna utaratibu wa kuacha meseji au watakurudia tena?
Nachofahamu ...Jina la Baba la Mwisho ambalo ni Minja ndio jina lako la mwisho sasa hapo kuna Kalolo ...Je hilo ni jina la nani tena?...la ukoo au la baba yake na babako.
Ushauri...nenda eneo ulilopata cheti cha kuzaliwa ukabidilishe hicho cheti cha kuzaliwa ili majina yafanane na vyeti ni rahisi na haichukui muda...
Kinyume na hapo itakusumbua mbeleni huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.