Recent content by alovera

  1. alovera

    Nimezaa na Mwanamke kutoka familia ya washirikina, najitoaje?

    Habari za siku nyingu wandugu, Mwaka 2010 nilioa mwanamke tuliyedumu naye uchumba takribani miaka 5 tena ndoa ya kanisani lakini huyo Mke aliniacha naye akakimbila USA, baada ya hapo mwaka 2012 nikapata mwanamke ambaye nilimkuta na mtoto mmoja ,na sasa tumeshazaa watoto watatu. Shida yangu ni...
  2. alovera

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Day moja mwaka 2008 nilikuwa nimekaa zangu ghetto sina hili wala lile,jamaa yangu mmoja akanialika nikale bata kiwanja yeye alikuwa yupo na manzi wake,nami nikawajoin nikawakuta yeye na manzi yake tayari wako tungi,nikawajoin tukala tungi kisha jamaa akaniambia niwapeleke ghetto kwake coz...
  3. alovera

    Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam

    Kuwa Mmisri na Mwarabu sio maana yake wewe ni muislamu,Wamisri wako wengi tu wakristo!
  4. alovera

    Philipo Mwakibinga wa WARAMI awajibu maaskofu wa KKKT; adai wanatumiwa na CHADEMA

    Kwani haijulikani 1+1 = 2? Hata ikifanywa na watu 200, ndio ujue kinachoongelewa ni ukweli mtupu
  5. alovera

    Natafuta mume

    Be Specific, Mrefu kwenda juu au chini?
  6. alovera

    DAR: RC Makonda asema kibali cha kupiga muziki mwisho saa 6 usiku, Ruge azungumza

    Externalities iko positive, unaweza kufurahia au negative yaani ikawa kero, so wewe uko pande ipi?
  7. alovera

    Polisi FFU Ukonga nimewakosea nini? Nimepigwa mimi,mke wangu na Mama mkwe bila kosa lolote. Nifanyaje kuchukua hatua?

    Kaka ningekuwa mimi baada ya kurudi kwenye gari walaahi ningewaponda na gari balaah, hauwezi kunidhalilisha mbele ya my wife wangu na mama Mzaa Chema, gari ingeharibika lkn idadi ya waliokufa na kujeruhiwa ingeongezeka pia
  8. alovera

    Shehe wa msikiti wa Kimara aitaka Serikali impigie simu Allah ili awalipe gharama za kubomoa msikiti

    Hfu Kuna mtu anataka kuombewa wakati anavunja nyumba za ibada, sijui akaombewe porini?
  9. alovera

    MBWANA SAMATTA ROAD/AVENUE

    Mpaka sasa Samatta kama Samatta hajafanya lolote kwa Taifa, maganikio aliyo nayo ni yake yeye na familia yake, angalau basi hata angeanzisha foundation au hata hamasa kama alivyofanya Wanyama ningemuelewa, kumbuka Samatta si mara moja amekuja nchini, ni kipi kikubwa cha Kijamii alichokifanya...
  10. alovera

    Jeshi la Polisi lataja wahusika wa mauaji Kibiti mkoa wa Pwani

    Watuambie na wale wanne waliowauwa mara tu baada ya police kuuwawa walikuwa akina nani? Ina maana waliuwa watu wasio na hatia?
  11. alovera

    The Interview: mshana Jr.

    Mshana Jr nafuatilia sana posts zako hususani ile ya Budha college, mengi unayoongelea inaonyesha yanatokana na experience either ya kazi au mapitio, naomba nikuulize yafuatayo 1.Nini imani yako ktk ukristo (umeokoka?) 2.Nini shughuli yako Kuu kwa sasa inayokufanya uishi mjini. 3.Unaonaje...
  12. alovera

    Je, wajua mchezaji gofu maarufu duniani Tiger Woods huwa hajitambulishi kama mtu mweusi?

    As long as you are Blackman, you are an African "Peter Tosh" na Mungu alivyotujalia watu weusi either uwe mume au Mke ukichanganya Damu tu na race nyingine iwe Mwarabu, Mzungu, Mchina.... Toto lazima liwe jeusi na utatambulika Dunia nzima wewe ni black hata kama wewe mwenyewe hajitambui kama...
  13. alovera

    Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

    Acha tupigwe tu ili tufanye mabadiliko, tuwaondoe hawa wapiga deal akina Kaburu
Back
Top Bottom