Habari za siku nyingu wandugu, Mwaka 2010 nilioa mwanamke tuliyedumu naye uchumba takribani miaka 5 tena ndoa ya kanisani lakini huyo Mke aliniacha naye akakimbila USA, baada ya hapo mwaka 2012 nikapata mwanamke ambaye nilimkuta na mtoto mmoja ,na sasa tumeshazaa watoto watatu.
Shida yangu ni...
Day moja mwaka 2008 nilikuwa nimekaa zangu ghetto sina hili wala lile,jamaa yangu mmoja akanialika nikale bata kiwanja yeye alikuwa yupo na manzi wake,nami nikawajoin nikawakuta yeye na manzi yake tayari wako tungi,nikawajoin tukala tungi kisha jamaa akaniambia niwapeleke ghetto kwake coz...
Kaka ningekuwa mimi baada ya kurudi kwenye gari walaahi ningewaponda na gari balaah, hauwezi kunidhalilisha mbele ya my wife wangu na mama Mzaa Chema, gari ingeharibika lkn idadi ya waliokufa na kujeruhiwa ingeongezeka pia
Mpaka sasa Samatta kama Samatta hajafanya lolote kwa Taifa, maganikio aliyo nayo ni yake yeye na familia yake, angalau basi hata angeanzisha foundation au hata hamasa kama alivyofanya Wanyama ningemuelewa, kumbuka Samatta si mara moja amekuja nchini, ni kipi kikubwa cha Kijamii alichokifanya...
Mshana Jr nafuatilia sana posts zako hususani ile ya Budha college, mengi unayoongelea inaonyesha yanatokana na experience either ya kazi au mapitio, naomba nikuulize yafuatayo 1.Nini imani yako ktk ukristo (umeokoka?)
2.Nini shughuli yako Kuu kwa sasa inayokufanya uishi mjini.
3.Unaonaje...
As long as you are Blackman, you are an African "Peter Tosh" na Mungu alivyotujalia watu weusi either uwe mume au Mke ukichanganya Damu tu na race nyingine iwe Mwarabu, Mzungu, Mchina.... Toto lazima liwe jeusi na utatambulika Dunia nzima wewe ni black hata kama wewe mwenyewe hajitambui kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.