Sam Jr official
Senior Member
- Dec 21, 2017
- 108
- 100
Wadau nimekopa ela bank nikaamua kujifungulia biashara zangu, ya kwanza nlikuwa natoa ndizi mikoani naleta Dar kwa kiasi flani nilifanikiwa lakini mwishoni nikakutana na madalali feki wakanidhulumu nikaamua kuachana nayo..... sa hivi nimeleta chakula cha kuku chenye mchanganyiko wa dagaa kutoka visiwa vya Ukerewe Mwanza,kwa bahati mbaya nimekuta masoko nliyokuwa nayategemea yametema yaani hakuna uhitaji.sasa Wadau nlikuwa Naomba msaada wenu kama kuna mdau anajua sehemu zenye huitaji anisaidie niuze mzigo wangu maana sa hivi sina ela na nimechalala mbaya kabisa,nina gunia 85