Raisi amefanya jambo la maana sana,kuliko mamilioni ya pesa kupotea siku moja kwa kula na kunywa ni bora kufanyia kitu cha maendeleo kama barabara na mengine....Mh Rais yuko sahihi na mamlaka hayo anayo tumuunge mkono
Ni vema mtu anapofanya jambo jema kumtia nguvu na sio kumkatisha tamaa....jiji ni chafu mpaka aibu na Makonda ameliona na analifanyia kazi inabidi tumpe ushirikiano sio kuponda kila kitu na kama kuna maboresho tuyatoe kwa nia kuweka jiji safi tumpe ushirikiano Mkuu wa Mkoa
sijasoma gazeti lakini swala la kuwajua walopata kuwa mameya Dar wala halihitaji utafiti kihiivyo maana ukienda tu pale Karimjee utayakuta majina yote yamebandikwa
Ni bora wapiga debe waondolewe watu tupumue na wizi wao....na wengi wao ni waathirika wa madawa ya kulevya ni vizuri pia wakasaidiwa kupelekwa reharb......maana ni kero kubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.