Mtanzania Ahmed Albaity mwenye ugonjwa wa kupooza anaendeleaje?

damtanzania

JF-Expert Member
Aug 31, 2014
752
1,464
Habari zenu wadau,

yeye.png

Nimekaa hapa ghafla nimemkumbuka huyu mtanzania mwenzetu anayeteseka, nikajikuta naumia.

Please tupeane updates kuhusu hali yake maana Mara ya mwisho nimeona Masanja Mkandamizaji akipost kuhusu kumchangia kwenda nje kwa ajili ya matibabu.

Mungu amjaalie huyu kijana apone maana ameteseka vya kutosha.
 
1662e17a237c69812961ea606afc9fe5.jpg

Enzi za uzima wake
e38bc2e04be796f5cd2e81581116c687.jpg

Maisha yake Kwa sasa, Ni kitandani, inasemekana Ana miaka Tisa sasa yupo kitandani
 
simfahamu kabisa huyu ndugu yetu ndio kwanza namsikia leo,kwani anasumbuliwa na ugonjwa gani?
 
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi,apate uponyaji arudi kwenye hali yake kwa Mungu hakuna linaloshindikana
 
simfahamu kabisa huyu ndugu yetu ndio kwanza namsikia leo,kwani anasumbuliwa na ugonjwa gani?
Alipata ajali ya gari, sasa nafikiri akapata itilafu kwenye uti wake Wa mgongo, so Toka Hapo amekuwa tegemezi Wa hisani za watu wake Wa karibu. Anatia huruma Sana. Kama Una account instagram mcheki utapata mengine kumuhusu
 
Kiukweli sina undungu hata chembe na waarabu mimi binafsi sijaguswa kabisa na kama watanzania mmetembea maeneo ya hao jamaa Arabic countries basi sifikiri kama utatoa ata mia tuna watu wengi wakusaidia wanaotuhusu walau angekuwa mzungu kidogo but si mwarabu wala mhindi
Nashukuru Kwa mchango wako na msimamo wako Ndugu,
Nakutakia jioni njema.
 
Alipata ajali ya gari, sasa nafikiri akapata itilafu kwenye uti wake Wa mgongo, so Toka Hapo amekuwa tegemezi Wa hisani za watu wake Wa karibu. Anatia huruma Sana. Kama Una account instagram mcheki utapata mengine kumuhusu

Nope sio ajali ya gari....., niliangalia video yake akisimulia alivyopata hayo matatizo... walikua wana dive huko Tanga katika bahari ndio akajigonga katika mwamba na tangu siku hiyo amekua wa kitandani tu... Story yake inasikitisha nakumbuka I cried that day
 
Nope sio ajali ya gari....., niliangalia video yake akisimulia alivyopata hayo matatizo... walikua wana dive huko Tanga katika bahari ndio akajigonga katika mwamba na tangu siku hiyo amekua wa kitandani tu... Story yake inasikitisha nakumbuka I cried that day
Duuh, basi mi nilijua Ni ajali ya gari. Maskini
 
Kiukweli sina undungu hata chembe na waarabu mimi binafsi sijaguswa kabisa na kama watanzania mmetembea maeneo ya hao jamaa Arabic countries basi sifikiri kama utatoa ata mia tuna watu wengi wakusaidia wanaotuhusu walau angekuwa mzungu kidogo but si mwarabu wala mhindi

Mbaguzi wa rangi namba moja duniani ni Mwafrika sema ni kuwa Mwenyezi Mungu alicheza kama Pele akatuweka wa mwisho akawajalia wazungu, waarabu na race zingine ila trust me Mwafrika angekuwa kama Mzungu kuanzia uwezo, akili na kila kitu hii dunia isingetawalika.

Trust me

Wewe unadhihirisha upumbavu wetu na ukosefu wa utu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom