Recent content by Ally Salum Nassor

  1. Ally Salum Nassor

    Nimekuta uchafu na usaliti kwenye simu yake

    Unataka mpaka afanye lipi ndo umwache?
  2. Ally Salum Nassor

    Ajali Morogoro: Mmiliki wa hoteli ya Villa Park apata ajali mbaya na kufariki dunia

    Hayo mabaki ya gari nimeyakuta eneo la tukio nikiwa njiani kuelekea Dar japokuwa mmiliki wake simfahamu M/mungu ampumzishe kwa amani
  3. Ally Salum Nassor

    Kula kula njia nzima uwapo safari ni ulafi, uchafu na ulimbukeni.Unakera abiria wengine

    Wewe unalo? Kama unalo basi sisi ambao hatuna private car tunarekebishana ili tuweze kutumia public service mwingine kupata kero kwa ajili ya mwingine unaongea huenda hata hiyo baiskeli hakuna, nakutakia siku njema
  4. Ally Salum Nassor

    Kula kula njia nzima uwapo safari ni ulafi, uchafu na ulimbukeni.Unakera abiria wengine

    Wengine vurugu ya mchanganyiko ikizidi tumboni wanawatapikia walio karibu yao eti kaka samahani naumwa tumbo limechafuka
  5. Ally Salum Nassor

    Kula kula njia nzima uwapo safari ni ulafi, uchafu na ulimbukeni.Unakera abiria wengine

    Halafu watu hao wanatakiwa waone aibu ni kero kwa abiria wengine, mara ooh d ereva simama nikajisaidie huoni kuwa umechanganya vyakula vingi vimetengeneza bomu tumboni
  6. Ally Salum Nassor

    Hongera kamanda Mpinga, tochi ziongezwe barabarani

    Tuongeze umakini tusijisahau kwenye alama za barabarani hilo litatusalimisha na tochi+ faini zisizo za lazima
  7. Ally Salum Nassor

    Wimbo wa taifa kuwa ringtone kwenye simu yako

    Kabla ya kujadili tuangalie kwanza sheria iliyolengwa kwa matumizi ya wimbo huo
  8. Ally Salum Nassor

    Traffic wamezidi

    Nini kifanyike ilikuondoa adha hii?
  9. Ally Salum Nassor

    Traffic wamezidi

    Wamepewa nafasi kubwa ya kutunyanyasa vilevile wanafanya kazi ya TRA kwa hivyo hata tukilalamika haisaidii kinachotakiwa na hii serikali ni pesa iingie serikalini haijalishi hata kama umeonelewa
  10. Ally Salum Nassor

    Hivi Jack Pemba ni tapeli?

    No wa kawaida tu umaarufu ameupata kwa kupenda sifa
  11. Ally Salum Nassor

    Kwaheri 2016 karibu 2017

    Kwa vile sio rahisi kumshukuru mtu mmoja mmoja natoa shukrani kwa wana Jf wote nakuwatakia heri ya mwaka tunaouanza muda mfupi ujao uwe wa amani na mafanikio kwa wote na kama wapo niliowakwaza kwenye mijadala mbalimbali mimi ni binadamu naomba wanisamehe
  12. Ally Salum Nassor

    Waziri Muhongo aipiga 'stop' EWURA kupandisha bei(mpya) ya Umeme

    siyo kila wanapokwama wanakimbilia kuongeza bei ya huduma waziri yuko sawa.
  13. Ally Salum Nassor

    Waziri Muhongo aipiga 'stop' EWURA kupandisha bei(mpya) ya Umeme

    waziri yuko sawa sababu amebobea Kwenye hiyo taaluma ndiyo maana Jk alimuita arudi hapa nchini afanyenaye Kazi hao wengine ni wababaishaji big up Waziri Muhongo
  14. Ally Salum Nassor

    EWURA yatangaza kuongeza bei ya umeme kwa asilimia 8.5

    Hao Tanesco wameshatuchosha kwa Huduma mbovu na ubadilishaji wa bei kila mara sasa ifike mwisho wa haya mazingaombwe na serikali itafute njia mbadala ya kutupatia huduma sisi wananchi wa hali ya chini nikiwa na maana wamekosa ubunifu wa kuboresha huduma siku zote wakikwama wanakimbilia kuongeza...
Back
Top Bottom