Mto huu Wa magole uliopo mkoa wa morogoro ni mto wenye historia ndefu ambayo huongoza kuhama hama sana. Mto huu umetokea katka vijiji mbalimbali vikiwemo mkundi na vingine.
Mto huu wa Magole kwa sasa unaathiriwa na mchanga mwingi unatokana na maji madogo na mengi yanayotoka mitaani na vijito...
Kiwanja nahitaji nje ya Dar kwa tsh Laki tano tu. 500,000. Eneo nnalokusudia nipate ni maeneo ya Kibaha Chalinze mlandizi kimanzichana na kuendelea Kibindu.
Tuwasiliane in box
Mfiwa hana pa kulala popote analala.
Mtoa post ametoa angalizo. Na mimi natoa yangu...................,
Wanaochat wasifunge vioo mnatia joto kwenye daladala.
Ongezeko la ajar barabarani halipunguzwi kwa kuweka faini ya fedha nyingi. Badala yake kuwepo na kifungo cha mwezi mmoja na ukitoka faini. Ili kuheshimu sheria na uendeshaji wa vyombo vya moto barabarani.
Hio isiwe kwa kundi dogo la watu liwepo kwa yeyote atakaetenda kosa la usalama...
Katka hali ya kawaida iliozoeleka kumekua na migogoro ya marakwa mara ktk mashirika na taasisi mbalimbali nchini kati ya vibarua na wamiliki wao.
Migogoro hio inatokana na kutokea kwa kutoelewa kati yao, Hali hio imekua ni tatizo kubwa katka nchi zetu zinazoendelea.
Hivyo hali hio imekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.