Special Thread: Wauza Nyumba, Viwanja na Mashamba.

Special Thread: Wauza Nyumba, Viwanja na Mashamba.

ninauza kiwanja kipo morogoro mjini kata ya lukobe kimepimwa na kina ukubwa wa hatua 30 kwa 40 bei ni 4000,000 napatikana 0762282526
 
Nauza kiwanja Kivule Chakenge chenye ukubwa wa 25/25 na tofari 1200 bei mil 7.5 kipo maeneo safi sana!
 
_*Hallo_*,

Anayetaka Kiwanja sehemu ambayo ishachangamka tayari(_*Maji na Umeme_*)
Huitaji hata Nguzo ya Umeme.

Unaweza kujenga na kuhamia leo leo bila ya kusubiria Huduma hizo muhimu kwa Maisha ya Mwanadam.

*Maeneo*: _*Kitunda Magole_* na _*Chanika Mjini_*(Videte)

_*Kitunda_* Bei: 6.5m
*Size*: 18 X 22

_*Chanika_* Bei: 4.5M
*Size*: 50Ft X 50Ft

_*Buyuni Ilala_* Bei: 32M
*Size*: Sqmtr 1111

_*Buyuni Ilala_* Bei: 40M
*Size*: Sqmt 1040

_*Call_*: 0715-240140

_*Karibuni_*.
 
Nauza pagala imeishia usawa wa linta,lina vyumba vitatu vya kulala,sitting na dinning room,jiko pamoja na stoo,ipo maeneo ya kwachilika kata ya buyuni ni mwendo wa dakika tano au saba kwa usafiri wa pikipi kutokea barabara kubwa cha kuelekea chanika....
 
mimi natafuta kiwanja goba,,kisiwe mbali sana na barabara kubwa ya lami mpya,,,,budget yangu 8m
mwenye lead naomba anitumie meseji
 
Mwenye kuhitaji Viwanja kwa maeneo ya Chamazi, Mbande, Mvuti au mashamba kwa maeneo ya Mkuranga, Vikindu karibu
 
Habari wakuu:Mimi nina eneo la ukubwa wa ekari mbili. Nina hati ya kijiji.Lipo morogoro barabara iendayo Dodoma. Kilometa 20 toka Msamvu stendi kwenda Dodoma. Kilometa 9 to barabara kuu. Bei ni TSH. 600,000/(laki sita) kwa ekari. Maelewano yapo. Karibuni sana wakuu. Piga:0713-039875
 
Napangisha nyumba Segerea Bonyokwa jirani na Masia Hotel...vyumba vitatu vya kulala kimoja master,sebule kubwa na dinning,jiko,stoo,choo public...ina tiles,gypsum na viio aluminium...eneo kubwa la nje...mwenye kuhitaji ani pm
 
Nahitaji kiwanja maeneo ya Goba kisipungue 40X30 budget yangu ni mil 12
 
Nauza viwanja Mpiji Darajani,eneo la Mingoi Mapingà Bagamoyo.Maji ña UMEME vipo na in km1 kutoka Bagamoyo Road.
1.45m*35m,bei 18milioni
2.70m*30m,bei 38milioni
Maongezi yapo,sio DALALI.
Cont:0754856277
 
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa mln 60 nyumba ni ya kuhamia tu,
Ina vyumba 3 pamoja na master,choo,bafu public,dining room,store...kiwanja Kuna sqmt 370.....
Nyumba iko madale kwa kawawa..bei mln 60
Madirisha ni ya aluminium,tiles,gypsum,imewekwa kwa nyumba....
 
Back
Top Bottom