Recent content by alirashidou

  1. A

    Hivi watoto wa Nyerere na Mkapa hawaiwezi au hawataki kujihusisha na siasa?

    Muuliza swali haelewi, nyerere wanawe ni wagonjwa na mkapa mimi si mjui mwanae wa kuzaa, watoto wa mama Anna Mkapa hawamhusu, Tz imeongozwa na watu jamani. Kikwete tuu ndio kuna usomi na utulivu.
  2. A

    UN yaikana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadharani, Hati ya Muungano haiko UN

    Daaah sie wa mbali tunakosa mengi kweli. Kumbe muungano ni wa marafiki?
  3. A

    Chameleon Converts To Islam, Now called ‘Gaddafi’

    I like tht let him dance to Allah. Latest info is that Uganda?s top musician, the self proclaimed music doctor, Jose Chameleon has converted to...
  4. A

    Lets make Rostum Aziz the next President of Tanzania!

    I slightly agree with you dude.
  5. A

    Pingu ya Muro

    Jamani mwenye taarifaa zaidi atufahamishe kesi ya Jerry itakuaje according to the reliable sources? Tufahamisheni sie tulio mbali na bongo.
  6. A

    TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

    Watamuua kijana huyu. Pooole Jerry. Lakini nyie waandishi wa Tanzania hamfai kwasababu hakuna mwandishi pale bongo asiye pokea rushwa. Kwa taarifa zenu kila stiry inayo andikwa gazetini,redioni and Televisheni zote kwanza lazima mwndishi ankuuliza kama unaweza kumuwezesha,maneno...
  7. A

    Un-resolved marriage dispute

    Pole Abuu Rashaad. Maisha ndivyo yalivyo,nainategemea ulimpendea nini, na je yeye likupenda? huenda ikawa mambo fulani huyawezi sana ama wewe unampeleka puta akaamua apige ndefu. Pole kaka. Bila shaka wajua kiswahili pia japo umeandika kwa kiingereza. Pole tena, kanyaga mwendo usirudi nyuma...
  8. A

    Hotuba yangu jimboni Kigoma

    Hotuba nzuri Zitto lakini utakuwepo uchaguzi ujao?Tuewke wazi, sisi tulio mjuu bado hatujui msimamo wako kaka.
  9. A

    Happy valentine JF!!

    Ahsante sana Pdiddy kwa salam zako.
Back
Top Bottom