KAMWE HUTO WEZA SUALA HILO UKIWA HUNA PESA,MKAPA PALE UTAKAPO BADILI MTAZAMO WAKO.
MWANAMKE HAITAJI PESA TU, MWANAMKE ANAHITAJI VITU KAMA:
-FARAJA
-CONFORMITY/ATTACHMENT
- BIOLOGICAL NEED
- KUPENDWA IKIWA NI SILIKI YA KILA BINADAMU.
Kulinganisha ni jambo jema, kwani ni moja ya njia ya kufanya tathimini ya jambo ili kulifanikisha kwa kiwango cha juu iliulitofautishe na lile la awali.
Vibaya tathimini hiyo kumwambia muhusika.Ila kama unafanya kimya kimya kwa lengo la kuboresha PEZI sio mbaya.
Umemuacha au umeachwa kwa ukosefu wa pesa? Maana si nia yako kumuacha Bali umekubali matokeo ya kuachwa kwa ukata.Pole ndio Dunia ilivyo
Kama hunapesa utaendelea kuwa mtumwa wa kuishia kutazama tu wanawake wazuri.
Tupo kwenye ulimwengu wa Nipe nikupe( The world of social exchange).
Sio kwa wanawake wetu hawa wa kibongo.Ila mawazo yako mazuri hasa kwa wale wachache sana waliobahatika kukutanishwa na wale wanawake wachache sana katika ile asilimia ya wenye heri, wanastahiri kuwekeza katika biashara hiyo ya Upendo wa agape.
Tatizo LA Elimu Tanzania ,serikali inaamini imelitatua kwa madawati, eti hayo masuala mengine ni changamoto ndogondogo tu.Wako busy kuvunja UKUT 1st October
Kwa comments za mada hii, inahashiria watu wengi ni wahanga katika suala la Mapenzi.
Maana mada hii imebeba maneno ya faraja kwa wenye makovu, pamoja nawale ambao bado wana majeraha kwenye mioyo yao hasa yaliyotoka na kupenda mahali pasipo sahihi.
Binafsi nimefarijika hasa baada ya kuona...
Haya mambo Mimi ni mshamba kidogo. Naomba kuuliza, " je nimkono upi unatumika kushika kikatio cha KEKI?, na upi unatumika kushika kifaa cha kulia KEKI? Maaana hapo huwa nipo Njia panda.
Kwanza pole sana.!
lakini kunakosa kubwa umelifanya kuingilia Ndoa ya mama yako,kwa kumpiga marufuku baba yako(Mme wa mama yako) asifike nyumbani kwa Mke wake.
Yaani hapo nisawa nakumwambia huyo MZEE achane na mama yako.
Hicho ndio kimemfanya mama yako kuchukia kiasi kwamba kukaa kimya...
Ikiwa bado huja muweka Ndani unamuona sio wa hadhi yako(Humpendi), sasa je utaweza kumpenda kweli Ndani ya Ndoa ambapo sura na figure hubaki suala la kawaida tu kwa wanandoa.?
Niheri umwambie ukweli, japo ataumia sana kwa mda mfupi kisha atasahau, kuliko kuja kuishi maisha Marefu ya Ndoa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.