mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,568
Watu mna bahati hambahatiki !kama ana respect na anakujali alafu unamwacha!!! ingekuwa inawezekana ungenipasia nibak nae, nishaangaika sana sijaona mwenye respect wala kujali naambulia tu ma changudoa.