inasemekana THEO anataka pound zaidi ya 100,000 kwa wiki jambo ambalo haiezekani, ukizingatia anachukua 100,000 kwa sasa mkataba alionao...
ukilinganisha na hali aliyopo sasa baada ya kutoka long term injury na kupoteza form
on top of that ALEXIS anakula pound 130,000 i think na OZIL 110,000...