Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya Mkuu usikimbie jukwaa tu baada ya mkong'oto wa nguvu na kutia doa mbio zenu za sakafuni za kuchukua nafasi ya pili 🙂🙂

Ndugu zangu wapiga mishale nawatakia soka njema Jumamosi!Hamna haja ya kukimbiana matokeo yakiwa siyo mazuri

11 Majogoo na 11 warusha Jambia hawanifungi popote pale rubaman BAK Wacha1 DonDonald
 
Muache tu ajipige kifua lakini anajua fika kwamba atapigwa si chini ya goli mbili. Malafyale kaka yake everlenk mwambie dada yako BAK anamsalimia sana, na kununa atamaliza lini? lol! Na aje hapa kushuhudia jinsi kaka yake anavyohuzunika siku ya Jumamosi.

Umeanza tambo zako mkuu....nisije sikia nakwenda Ikirwiwi shambani kwangu sitaki tena kutizama mpira.
BAK njoo bhana umtulize huyu kaka Yake everlenk
 
Hongereni watani kutwaa tuzo mbili za mwezi lakini kipekee ikiwa ni 14th Manager of the Month Award kwa AW

Ila nawaza tu msinipige mawe...."Arsene Wenger; Specialist in good months, bad seasons"
 
Habari Zenyu Wananzengo! Namimi Nimo Nimepita Kutia Saini Tu..Haya Jamani Tutazidi Kuonana Naelekea Hukoo 'Habari Nahoja Mchanganyiko'
 
Kesho naamini tutashinda japo kwa shida, ila kitu ambacho ni kigumu ni Wenger kumkazia Walcot hadi anafikia uamuzi wa kutofanya mazungumzo ya mkataba. Walcot hastahili kuondoka nashangaa kwann watu wanasahau mapema, jamaa mapema msimu uliopita kila kona sifa zake zilitanda na umahiri wake ila sasa wenger kamnyima nafasi hadi inakera mbona Giroud kampa muda wa kutosha. Theo should stay i would sad if he go
 
273AD2E000000578-0-image-a-1_1427994395755.jpg


Olivier Giroud (left) and Arsene Wenger are the Premier League Player and Manager of the Month

273AD2DA00000578-0-image-m-5_1427994560372.jpg


 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kesho naamini tutashinda japo kwa shida, ila kitu ambacho ni kigumu ni Wenger kumkazia Walcot hadi anafikia uamuzi wa kutofanya mazungumzo ya mkataba. Walcot hastahili kuondoka nashangaa kwann watu wanasahau, jamaa mapema msimu uliopita kila kona sifa zake zilitanda na umahiri wake ila sasa wenger kamnyima nafasi hadi inakera mbona Giroud kampa muda wa kutosha. Theo should stay i would sad if he go

inasemekana THEO anataka pound zaidi ya 100,000 kwa wiki jambo ambalo haiezekani, ukizingatia anachukua 100,000 kwa sasa mkataba alionao...

ukilinganisha na hali aliyopo sasa baada ya kutoka long term injury na kupoteza form

on top of that ALEXIS anakula pound 130,000 i think na OZIL 110,000 na podoski arround 100,000 kwa week

Santi,kos,per, wengine wako below 100k kwa week....

HIYO PESA HAWEZI KUPEWA....HE BETTER SORT IT OUT au WATAMUUZA na kumchukua RAHEEM
 
inasemekana THEO anataka pound zaidi ya 100,000 kwa wiki jambo ambalo haiezekani, ukizingatia anachukua 100,000 kwa sasa mkataba alionao...

ukilinganisha na hali aliyopo sasa baada ya kutoka long term injury na kupoteza form

on top of that ALEXIS anakula pound 130,000 i think na OZIL 110,000 na podoski arround 100,000 kwa week

Santi,kos,per, wengine wako below 100k kwa week....

HIYO PESA HAWEZI KUPEWA....HE BETTER SORT IT OUT au WATAMUUZA na kumchukua RAHEEM

kwanza kitu kimoja theo hajapoteza form ila ni hajapewa muda wa kutosha kwan wenger anapenda kumtumia welbeck zaid ya theo pili mshahara sidhan kama inaweza kuwa kes kubwa ila ni kitendo cha kuwekwa bench muda mrefu ilihali umri wake hauruhusu huku wenger akionesha nia ya kuendelea kumweka bench fuatilia press yake ya leo
 
Ndugu zangu BAK Wacha 1 Belo
Nawatakia amani kwenye kuona game ya leo!Tukubali matokeo kwani soka lina matokeo matatu!Lolote likiwapata leo mchukulie kama ni changamoto tu na wala SIYO kutaka kuandamana kushinikiza Kocha Wenger afukuzwe

Hamna haja ya kunikimbia baada ya dakika 90 bali tuje hapa tujadili soka!Majogoo 11 yasiyo pungufu yanawika Emirates leo

Mchezo mwema wote
 
Ndugu zangu BAK Wacha 1 Belo
Nawatakia amani kwenye kuona game ya leo!Tukubali matokeo kwani soka lina matokeo matatu!Lolote likiwapata leo mchukulie kama ni changamoto tu na wala SIYO kutaka kuandamana kushinikiza Kocha Wenger afukuzwe

Hamna haja ya kunikimbia baada ya dakika 90 bali tuje hapa tujadili soka!Majogoo 11 yasiyo pungufu yanawika Emirates leo

Mchezo mwema wote

Sisi tunashukuru kwa kitoweo muhimu cha pasaka.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi ni saa ngapi hawa watoto watapakatwa?
Jogoo leo limedithaaaaa teh
 
Back
Top Bottom