annabrenda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 1,142
- 399
Huyo mungu wao anayelindwa na wanadamu ni useless.
Kuna mwingine tena kamtupa mtoto wake kwenye bridge la ft 60 Florida.Ndo utubainishie sasa wewe hasa ukoje?.kwanini ishu ya kina charb unaitolea jicho sana,ama ndo umepatiapo njia ya kuwaponda waislamu?.
jana kuna watu kama kumi wamepatikana mexico wamekatwa vichwa sijaona ukiwa concerned.
leo kuna mbaba kule marekani kamtupa binti wake wa miaka mitano toka ghorofa ya tano,akafa,hauko concerned.
nikwambie tu,wewe una double standard kama walivyo wengi wa aina yako.
Je ni haki kuwaachia wanadamu wamuue mtoto wa mungu wa pekee kwa kipigo kikali cha kikatili huku Babake akiangalia !? Balali
Huyo mungu wao anayelindwa na wanadamu ni useless.
Wewe ndiyo unapotosha unaleta porojo ulikuwepo wakati wanaume wa shoka wanapofanya kazi yao kwa ustadi mkubwa, watu wanaonekana macho tu hayo maneno umeyasikia wapi.Huko nikupotosha tu. je walipokuwa wanauwa wanauwa kwa jina gani? wanasema Allahakbar hawasemi mtume muhamad elewa ndugu.
Mkuu huyo jamaa yuko frustrated vibaya....povu tupu dah...kazi ipo
msamehe bure
Wewe ndiyo unapotosha unaleta porojo ulikuwepo wakati wanaume wa shoka wanapofanya kazi yao kwa ustadi mkubwa.
Wanamlinda Mohammed kwa sababu ana kashfa nyingi za totoz[/QUOTE
hii signature yako nadhani TAFSIRI YAKO umeichakachua aya inasomeka hivi
QUR'AN 48:29
''Muhammad (صلى الله عليه وآله وسلم) ni Rasuli wa Allaah. Na wale walio pamoja naye ni wakali zaidi dhidi ya makafiri; wanahurumiana baina yao. Utawaona wakirukuu, (na) wakusujudu wakitafuta fadhila na Radhi kutoka kwa Allaah. Alama zao zi katika nyuso zao kutokana na athari za sujudu"
UKALI uliosemwa hapo ni upi? maana ukishaweka hiyo tafsiri uliyoweka ushachakachua tayari maana
daah? kombo mtu wangu, walahi ile ahadi ya kupata dhakar mdinda, gongo na makalio imeota nyasi! Umefikia ujasiri kumuita muhammad chitorondo ameingiaje na wazimu? teh tehe!Kitorondo kitorondo.....mwendawazimu kaingiajee !
Badala ya kujibu hoja unakomenti nini hapa, ni halali kuuwa kwa jina la mnyaazimungu? nisahihi kumsaidia mungu?
huku nikudhalilisha uwezo wa Allah, maana hawezi tegemea uwezo wa wanadamu alowaumba.
Vipi kuhusu yule mtoto wa mungu aliyepigwa,na wanadamu !?....babake alikuwa wapi ? Balali
Huyo mungu wao anayelindwa na wanadamu ni useless.
Naona povu linawagika tu Gunmen walikuwa wamevaa maske wanaonekana macho tu, hayo maneno nani aliyasikia au wewe ndiyo msemaji wa Charlie Hebdo.Badala ya kujibu hoja unakomenti nini hapa, ni halali kuuwa kwa jina la mnyaazimungu? nisahihi kumsaidia mungu?
huku nikudhalilisha uwezo wa Allah, maana hawezi tegemea uwezo wa wanadamu alowaumba.
Vijana wa kiislamu wa ufaransa wameamua kutoa salamu za mwaka mpya. Hawa wanahabari na watu wa mfano wake wanatakiwa wajitazame tena kabla hawajafanya jambo la kukashifu imani ya mtu. Bado salmani rushdie nae qiama chake kinakuja.
Uelewa hafifu wa baadhi yetu unatupeleka huko kwenye mauwaji kwa kisingizio cha kumsadia mungu. Hii nikupotoka kwa hali ya juu, mungu hasaidiwi wala hanaudhaifu tunaodhani. Mtu anatoa uhai wa mtu mwingine kwa jina la Allah hapa nikumkosea Allah heshima, nidham na kumdhalilisha.
Allah Akbar...
Unategemea BBC, Sky News watasema nini zaidi ya propaganda tumia akili yako uliyopewa na Mungu siyo kushikiwa akili, gunman wamevaa Maske wanaonekana macho tu picha tumeziona hayo meneno nani kayasikia hawa bbc walikuwepo?Ukifunguwa Television nying leo BBc, Sky news, Aljazeera, nk , utapata hiki nikisemacho, mashambulizi na kaulimbiu Allahakbar. Nadhani unajipiga chenga pekeyao. wanaosoma post hizi nakuangalia taarifa za habari huu ndio ukweli.