Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Kushabikia mauwaji ya raia wasionahatia ni Laana, wote wanashabikia ujinga huo nimatokeo ya laana na ujinga.

Hawa jamaa wamekufa, wamepata nini? je wangeishi nakusubiria Maulana wao kwa utashi wake awachukuwe wangepungukiwa na nini hasa.
 
umemuona huyo sniper kwenye picha pembeni? hahahahahahaha

article-2903042-248B949B00000578-484_964x407.jpg
 
kabisa,halafu magaidi yalitoka yanarusha risasi,wangekuwa polisi wa bongo wangekimbia,mapolisi ya kenya walimkimbiwa na magaidi hivi hivi pamoja na kulipua malls,wakaishia kuiba tu vitu kwenye malls,pongezi kwa polisi wa Ufaransa

hawa jamaa wananikera sana. wanafanya maisha ya wageni huku ulaya kuwa magumu sana kwa sasa.
 
Sasa kinachofuta ni usumbufu kwa wengine.

-Itaingia balaa ya kuvuana hijabu na wale wafunikao nyuso zao, itaingia balaa na kupekuwana pasi na sababu, watu watashikiliwa nakuwekwa mahabusu bila sababu ikiwa matokea ya hawa wajinga wachache wanaodhani wanauwezo wa kumsaidia Allah.
 
jamani naomba hii story kuijua

kulikuwa na makudi mawili ya magaidi wakiwashikilia mateka sehemu mbili tofauti. kundi moja linasema mkivamia kundi jingine tunaua mateka tulionao. walichofanya polisi na kikosi cha makomando ni kwanza kuzima mitambo ya simu iliwasweze kuwasiliana na kuwashambulia wote wakati mmoja.
 
umemuona huyo sniper kwenye picha pembeni? hahahahahahaha

article-2903042-248B949B00000578-484_964x407.jpg
Teh teh teh teh watu wawili kwa askari 80 alikuwa wapi kuwasaidia wachora katuni wakati wanavyomwagwa mavi.
 
Hawa mbwa Uislam Ukikashifiwa utasikia Freedom of speech !
Mayahudi wakichorwa tu utasikia Anti-Semitism...


Safi sana ujumbe umefika tena murua Muislam haogopi kifo wamekufa lakini wachora katuni stadi wa Charlie Hebdo wanaandaliwa mazishi.

Tet teh teh...watu wa shoka wanasubiri wachore tena.

acheni unafiki wenu ninyi. mbona nyingi mkisema yesu siyo mwana wa mungu hakuna anayefikia hatua ya kuwaua waislamu lakini ninyi mkiambiwa maisha ya mtume wenu mnakuwa mkali?
 
Hawa mbwa Uislam Ukikashifiwa utasikia Freedom of speech !
Mayahudi wakichorwa tu utasikia Anti-Semitism...


Safi sana ujumbe umefika tena murua Muislam haogopi kifo wamekufa lakini wachora katuni stadi wa Charlie Hebdo wanaandaliwa mazishi.

Tet teh teh...watu wa shoka wanasubiri wachore tena.


Kaka utapasuka bure, hao wameshakuuliwa, nawewe unakoendelea nikujilipuwa maana unaonesha kila dallili ya kujitowa roho.
 
Haya hayatatokea kama wataacha kukashifu Dini za watu. Hawa watu huwa hawaogopi kufa hata kidogo
 
kulikuwa na makudi mawili ya magaidi wakiwashikilia mateka sehemu mbili tofauti. kundi moja linasema mkivamia kundi jingine tunaua mateka tulionao. walichofanya polisi na kikosi cha makomando ni kwanza kuzima mitambo ya simu iliwasweze kuwasiliana na kuwashambulia wote wakati mmoja.

wqwow

ndo nimefika home jion naona hapa bbc ndo wanaondolewa na magari maalumu hapa naona wameuliwa sijui wote
 
Teh teh teh teh watu wawili kwa askari 80 alikuwa wapi kuwasaidia wachora katuni wakati wanavyomwagwa mavi.


Unashabikia nini, hata wangekuwa milion lakini kuuwa hovyohovyo na kushabikia mauji nikutojitambuwa elewa wewe gaidi
 
kulikuwa na makudi mawili ya magaidi wakiwashikilia mateka sehemu mbili tofauti. kundi moja linasema mkivamia kundi jingine tunaua mateka tulionao. walichofanya polisi na kikosi cha makomando ni kwanza kuzima mitambo ya simu iliwasweze kuwasiliana na kuwashambulia wote wakati mmoja.
Hao polisi walishindwa nini kuwasaidia wachora katuni wa Charlie Hebdo wasipigwe risasi ofisni kwao.
 
hawa jamaa wananikera sana. wanafanya maisha ya wageni huku ulaya kuwa magumu sana kwa sasa.
Unajua wanaokuwa magaidi ni wale watoto ambao wanakuwa kama desparate katika kukua kwao,kwa mfano hawa ndugu wawili ni yatima na kukua kwao wamekulia kwenye ustawi wa jamii,inakuwa raisi kumezeshwa idea za kigaidi,ila bora wamekufa,maana lazima wangefanya ugaidi tena maana walikuwa wamejiandaa
 
Haya hayatatokea kama wataacha kukashifu Dini za watu. Hawa watu huwa hawaogopi kufa hata kidogo


Kama huogopi kufa jichinje uende huko ambako wala hujuwi kunanini zaid ya kudanganyana tu. ulishafika ukajuwa pakoje?
 
wqwow

ndo nimefika home jion naona hapa bbc ndo wanaondolewa na magari maalumu hapa naona wameuliwa sijui wote

baada ya kuingia ndani wamepisha mabomu ya mikoni ila haya ni maalumu siyo kwa ajili ya kuua ni kupumbaza magaidi na mateka halafu vikosi vya uokoaji vinaingia kuondoa mateka na kushambulia magaidi.
 
Shkamooni wafaransa hongereni kwa kuwaangamiza magaidi.naomba Yale maandamano ya ujerumani yaendelee kupiwapinga haya magaidi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom