wagala bana....watoto wa kipalestina waliuliwa wakawa wanakenua hapa
sasa siku agents wa mossad walipotiwa mbaroni wakauliwa kule gaza wakaja kasi na mambo ya HAKI ZA BINADAMU na kuwahurumia...
yaani huu unafiki wa kijinga sana aisee
Je ni sahihi kumsadia Allah, kuwa watu hovyo kwa kutumia jina la Allah? jem Allah ndo anataka msaada huo? kunaushahidi wowote kuthibitisha Allah anaomba msaada wa mwanadamu.
