Joseph Kabila awaongoza mabodigadi misitu ya kongo

Joseph Kabila awaongoza mabodigadi misitu ya kongo

Kwa mali iliyopo/ utajiri wa Congo hiyo barabara ilitakiwa kuwa na lami na madaraja ya nguvu, siwaelewi mnao misifia Kabila kwa anachofanya!!

!
!
tanganyika mbona tuna rasilimali kama kongo tu na barabara ni utiti licha ya hali ya hewa kuwa iko poa.
 
Hii ni moja ya adha za barabara nchini Congo, huu ni msafara wa Rais wa nchi hiyo, Joseph Kabila.

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • 1420715792266.jpg
    1420715792266.jpg
    54.7 KB · Views: 1,487
  • 1420715807916.jpg
    1420715807916.jpg
    51.6 KB · Views: 1,504
  • 1420715825485.jpg
    1420715825485.jpg
    40.6 KB · Views: 1,464
  • 1420715840564.jpg
    1420715840564.jpg
    44 KB · Views: 1,457
We ulifikiri huyo ni mwanaume wa Dar.., mwanajeshi kama huyo kwake hicho ni kitu cha kawaida..
 
Joseph kabila ujeshi wake ni wa kuunga unga
 
We ulifikiri huyo ni mwanaume wa Dar.., mwanajeshi kama huyo kwake hicho ni kitu cha kawaida..

wewe mzaramo muoga acha dharau kwa wanaume wa dar wakati mwenyew unaish tabata dar es salaam.

Tumeshaku-note halafu mara nyng unapita hapa darajani UBUNGO pita tena siku ingine tukupe roho inapenda ujue kuheshimu wanaume wenzako.
 
wewe mzaramo muoga acha dharau kwa wanaume wa dar wakati mwenyew unaish tabata dar es salaam.

Tumeshaku-note halafu mara nyng unapita hapa darajani UBUNGO pita tena siku ingine tukupe roho inapenda ujue kuheshimu wanaume wenzako.

Uchizi tu huo!! Mtu mzima hatishiwi Nyau wewe, wacha hizo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwa mali iliyopo/ utajiri wa congo hiyo barabara ilitakiwa kuwa na lami na madaraja ya nguvu, siwaelewi mnao misifia kabila kwa anachofanya!!

kweli nyani haoni kundule... Nyie watanzania mna kipi cha kujivunia pamoja na natural resources zote zilizopo?
 
aliamua tu kwenda kucheza na 1 KZ kwenye tope

1KZ inapanda nyege ikiona tope
 
Ile nchi ya Congo ina mvua nyingi sana kwa suala la barabara za lami Congo ni vigumu kidogo kwa kuwa utope huo unaouna ni karibu mwaka mzima na kwa ujenzi wa lami haufai kwani itahitaji karibu kila baada ya miaka mitano wabadilishe lami waweke nyingine na sehemu zingine ni miaka miwili itabidi waweke lami mpya. Ndo maana serikali ya Kabila imeboresha sana viwanja vya ndege na usafiri wa anga ni usafiri wa kawaida sana.

Hiyo Highway engineering ulisomea wapi ukaambiwa Congo Barbara za lami in ngumu kudumu kutokana na unyevunyevu basis hata CAR au Cameroon zisingekuwepo maana halo ya hewa katika hizo nchi zinafanana
 
Ile nchi ya Congo ina mvua nyingi sana kwa suala la barabara za lami Congo ni vigumu kidogo kwa kuwa utope huo unaouna ni karibu mwaka mzima na kwa ujenzi wa lami haufai kwani itahitaji karibu kila baada ya miaka mitano wabadilishe lami waweke nyingine na sehemu zingine ni miaka miwili itabidi waweke lami mpya. Ndo maana serikali ya Kabila imeboresha sana viwanja vya ndege na usafiri wa anga ni usafiri wa kawaida sana.

SIO POINT YA MSINGI KABISA

nchi ya kijinga sana hakuna MAIN ROAD ya kuunganisha miji muhimu yoye....hamna barabara ya kutokea BUKAVU kwenda kinshasa, wala Lubumbashi kwenda GOMA kuja kishansa....

wamekalia vita.....usafiri unaousema wa ndege ndege zenyewe (za kizamani madege ya jeshi) mbuzi humo humo, kuku, watu

hii nchi kaiharibu MOBUTU SESESEKO hamna kitu.....nchi ukienda unaona mpaka huruma aisee
 
Back
Top Bottom