Serikali nikitu gan imewakosea wana chadema hadi ikafikia mahara ikawa insjishuku namna hiii? Kwanza nimakosa polis kukagua mahara afu mhuusika mwenye nyumba au mwenye chumba hayupo mahara husika, endapo akikagua afuu mhuusika hayupo kuna uwezekano mkuubwa tena wahali ya juu huu mkaguz...
Mmmmmmh hatar saaaana kuoa mke ambaye anamtoto afu isitoshe hao watu bado wanawasiriana, ni kher kuoa mke mwenye mtoto ila baba wamtoto kashajifia, lasivyo ni uchafu nwanzo mwisho
Fanya maamuz yaliyo sahih, hiyo ni nafasi adimu huwa aijitokez mara mbili, wengi huitaman ila hawaipati, subir kidgo wadau wanaoijua vizur arusha waje wakusaidie
Usijari utampata mwenye sifa unazozihitaji ila mmmh kuna sifa zingine uwez kuzijua had mwepo mahara faragha, sasa huko ukikuta ile sifa unayoitaji haipo utafanyaje ingawa huyo anajiona amekidh vigezo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.