Hi Kuwa mwazi zaidi; Unasema amefanya mabaya - yapi??? Tupe data. Nadhani ifike mahali mtu tu capitalize mazuri ya mtu badala ya kungangania tu yale mabaya ku mdefine
Hii haikubaliki. Kuna maeneo mengi ya vyanzo vya kodi lakini inaonekana wanaangalia vyanzo rahisi kwa sababu wanajua ni lazima watu watatumia simu. Isitoshe kampuni zinalipa kodi sasa ni kwa nini tena watumiaji wa huduma wanadaiwa.Bei ya operator tayari imejumuisha extra costs?? Ni sawa na...
Nadhani kwa kuanzia hiyo ni hatua nzuri lakini next; watoro waende wapi wakati muda wa shule unaendelea. Je fedha zao walizolipa ambazo hazijatumika watazipataje ili wakaanze upya mahali pengine?? Je waliosababisha haya wawajibishwe vipi (au hawalipwi mshahara?. Please find out) ???? Zaidi ya...
Yes naona kuna logic. Kwa kufanya kazi kwa siku 4 kwa wiki tangu saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni Nisawa na tunaofanya siku 5 kwa wiki tangu saa 2 hadi saa 9.30. Masaa ni yaleyale. Nothing strange
Yes naona kuna logic. Kwa kufanya kazi kwa siku 4 kwa wiki tangu saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni Nisawa na tunaofanya siku 5 kwa wiki tangu saa 2 hadi saa 9.30. Masaa ni yaleyale. Nothing strange
Makampuni ya Pest control hakuna au fedha hakuna au dawa feki??? Kuna haja ya kufuatilia mahospitali yote nchini kwa ajili ya kuondokana na tatizo hili.Tunaweza kuwaongezea wagonjwa matatizo zaidi ya waliyokuja nayo hospitalini.
Kuwa na chombo cha taifa (National flag) ni muhimu. Naona serikali ijaribu kulipa hili priority ili ATC akae katika hali nzuri na anunue ndege za kutosha. Inashangaza private firms zinakuwa more successful than National flag??? Au ???
Kero ni zaidi ya kudai fee siku kuu. Hapa Arusha kuna packing fee ya city, ukienda sokoni unakuta kampuni nyingine wanadai ya sokoni, ukienda central bus stand kuna fee nyingine nk nk. How comes gari moja linalipiwa mara nne kwa siku moja. Hii ni kero. We eed solution
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.