Kunguni,chawa na mbu hospital ya mkoa Dodoma

Kunguni,chawa na mbu hospital ya mkoa Dodoma

my web

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
1,592
Reaction score
243
Wamama wajawazito katika hospital ya mkoa wa Dodoma wanalalamika kuhusu kung'atwa na kunguni,chawa na mbu.Tupo 100 na zaid ila kunavitanda 15 tu wanasema wajawazito hao kuwa wamekuwa nalala chini huku wadudu hao wakiwasumbua. Tujadili

chanzo: majira
 
Sio Dodoma tu hata Bugando hosp ni chafu kupindukia jana tu 10/1/13 wodi zote zilikuwa hazina maji na harufu na mende kila kona. Mpaka watu wanasema afadhali wakati wa utawala wa Mkapa.
 
Tupo kwenye mchakato yakinifu wa kumpata mwekezaji wa kuja kutusaidia kusafisha hospital zetu kwa sasa hatuna vifaa.Ila usisahau tunasubiri maambukizo ya magonjwa yakiwa makubwa tutaagiza dawa kwa wingi ili tupate cha juu.
 
Sio Dodoma tu hata Bugando hosp ni chafu kupindukia jana tu 10/1/13 wodi zote zilikuwa hazina maji na harufu na mende kila kona. Mpaka watu wanasema afadhali wakati wa utawala wa Mkapa.

Mkapa alikuwa akifanya usafi?kusingekua na mganga mkuu wa hosp,wilaya na mkoa sawa!ANZA NA HAO NDO UENDE JUU YAO!
 
Sio Dodoma tu hata Bugando hosp ni chafu kupindukia jana tu 10/1/13 wodi zote zilikuwa hazina maji na harufu na mende kila kona. Mpaka watu wanasema afadhali wakati wa utawala wa Mkapa.

Mkapa alikuwa akifanya usafi?kusingekua na mganga mkuu wa hosp,wilaya na mkoa sawa!ANZA NA HAO NDO UENDE JUU YAO!
 
Makampuni ya Pest control hakuna au fedha hakuna au dawa feki??? Kuna haja ya kufuatilia mahospitali yote nchini kwa ajili ya kuondokana na tatizo hili.Tunaweza kuwaongezea wagonjwa matatizo zaidi ya waliyokuja nayo hospitalini.
 
Dodoma Makao Makuu ya CCM na serikali hospitali ziko hivyo, je hali ikoje kwa hospitali zilizoko Namanyele Sumbawanga?
 
Mkapa alikuwa akifanya usafi?kusingekua na mganga mkuu wa hosp,wilaya na mkoa sawa!ANZA NA HAO NDO UENDE JUU YAO!
Tunanyoosha mistari mireeeefu kumchagua rais mbunge na diwani mganga mkuu,dmo,mphamasia wa wilaya hatuwajui hata madokta wa nn sasa? Me mkulima nawajuaje hawa makubaliano ya kaz yao naijuaje,stewardship ya kodi yangu na mali ya hii nchi nilimkabidhi rais na watu wake!
 
Back
Top Bottom