Taarifa ya Tamko la CHADEMA Jana

Taarifa ya Tamko la CHADEMA Jana

Mkuu K.Msese, "eti" ni kitangulizi cha ishara ya ama "not sure" yaani huna uhakika, au "don't belive!", yaani huamini!.

Kwa mujibu wa ile "eti" yangu kule, kwa vile taarifa hizo nimezisikia kutoka source isiyo na uhakika, then zilipandishwa kwa kuitwa ji "tetesi", ukakika au uthibitisho ukishapatikana, neno tetesi huondolewa na "eti" pia huondoka!.

P.

maneno yanayotumika kuonesha huna uhakika na unachokisema ni nadhani , nahisi, labda,
kwa sentensi kama yako ulipaswa kusema kwa taarifa kutoka katika sehemu fulani, au mtu fulani .... "eti" is less formal na imekaa kama umbea fulani hivi.
no offence mkuu ni kujaribu kuelekezana tu
 
tutajuaje kama waandishi hao hao hawakuitwa kwa mlango wa nyuma na Nape wakapewa bahasha za khaki ili wasitoe tamko la Chadema! maana uandishi wa habari wa digitali unajali nani anatoa fungu ili habari ziandikwe au zisiandikwe na zikiandikwa ziandikwe kwa uelekeo upi! hakunaga kama 'Mwanahalisi'!

halafu wewe na hizo 'eti' zako hatuzitaki. leta uzi uliokamilika. usituletee ushushushu wako humu JF!
Jamani, msimlaumu sana, kikubwa mada aliyotoa ijadiliwe. Kama kikao kilikuwepo, na kama inadhaniwa bahasha za kaki zilitembea, mbona hata gazeti la Tanzania Daima hail kuandika?! Au nao wameshatiwa mfukoni na Nape?!
 
Mkuu Mizambwa, kwa mujibu wa sheria za jf, huruhusiwi kumfananisha member yoyoye na member mwingine yoyote hata kama wanashabihiana kwa kiasi gani!. Hili ni kosa linaitwa "name calling" na adhabu yake ni ban!.
Pasco.

Pasco, usijitie kuwatisha watu kwa kujifanya unakimbilia sheria/kanuni za JF. Umejiumbua mwenyewe na Mizambwa yeye kapiga mistari kauli zako mbili-kwa ID tofauti zikirejea kitu kimoja. Wewe ndiye Nyamogota.

Katika uzi huu, eti ya kwanza inatolewa na ID ya Nyamigota. Anaposhambuliwa na K.Msese juu ya matumizi ya eti, wewe unaibuka na kutetea. Humtetei Nyamigota kama nafsi ya tatu bali unamtetea kama nafsi ya kwanza. Angalia kauli yako...
"Kwa mujibu wa ile "eti" yangu kule, kwa vile taarifa hizo nimezisikia kutoka source isiyo na uhakika,"

Tuambie wapi katika uzi huu wewe ulitumia 'eti' ikiwa wewe ni mtu wa pili kuchangia na pakiwa na tofauti ya dakika 28 toka mtoa (muanzisha) mada kuiweka? Vinginevyo leo nitajua nitajua Kitabu cha SARUFI na FASIHI cha Fr Nkwera hakikuwa na msaada kwangu zama zile nikisoma Kiswahili darasani.

Shukrani Mkuu Mizambwa, umeona vema. Pasco ndiye Nyamigota hawezi kukana kama ni muungwana. Ila kwa jinsi alivyombishi, bado atakuja na kuendelea kubisha.

Asante sana Mkuu Mnyamahodzo

huyu Pasco analeta ujanja kukataa hata KIVULI chake au PICHA yake mwenyewe. Umempa ufafanuzi mzuri sana. asitake kukataa hizi ID ni za mtu mmoja.

Amejifunga mwenyewe. Ujanja Kwishnei!!!!!!!!!!!!

Humu ndani Pasco ana ID nyingi sana kila mara anakja na majina tofauti.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Pasco, usijitie kuwatisha watu kwa kujifanya unakimbilia sheria/kanuni za JF. Umejiumbua mwenyewe na Mizambwa yeye kapiga mistari kauli zako mbili-kwa ID tofauti zikirejea kitu kimoja. Wewe ndiye Nyamogota.

Pasco ndiye anapaswa kubigwa BAN milele, kwa kosa la kutumia ID mbili.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA
 
Last edited by a moderator:
cdm matamko kila kukicha na mwendelezo wake huwa haufahamiki kisayansi mtu akipata ulemavu akili yake inakuwa sio pure .mfano dk slaa
Kauli za kipumbavu kama hizi kutoka kwa mpumbavu kama wewe, ndio ziliwafanya Wapiga kura wa Lindi mjini wamchaguwe Mbunge Albino wa CUF na kumpiga chini wa CCM ili waone kama atashindwa kuwawakilisha bungeni.
 
Mkuu Mizambwa, kwa mujibu wa sheria za jf, huruhusiwi kumfananisha member yoyoye na member mwingine yoyote hata kama wanashabihiana kwa kiasi gani!. Hili ni kosa linaitwa "name calling" na adhabu yake ni ban!.
Pasco.
hahahahahaa usimtishie mwenzio bana wewe jibu hoja yake... maana ulijichanganya mwenyewe kwa kutetea hiyo ETI ukionesha kuwa wewe ndio mwanzilishi wa hii thread
 
Asante sana Mkuu Mnyamahodzo

huyu Pasco analeta ujanja kukataa hata KIVULI chake au PICHA yake mwenyewe. Umempa ufafanuzi mzuri sana. asitake kukataa hizi ID ni za mtu mmoja.

Amejifunga mwenyewe. Ujanja Kwishnei!!!!!!!!!!!!

Humu ndani Pasco ana ID nyingi sana kila mara anakja na majina tofauti.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Cha kushangaza hajui kujikausha...yaani unang'amua kuwa ni yeye kiulainiiiiii
 
Asante sana Mkuu Mnyamahodzo

huyu Pasco analeta ujanja kukataa hata KIVULI chake au PICHA yake mwenyewe. Umempa ufafanuzi mzuri sana. asitake kukataa hizi ID ni za mtu mmoja.

Amejifunga mwenyewe. Ujanja Kwishnei!!!!!!!!!!!!

Humu ndani Pasco ana ID nyingi sana kila mara anakja na majina tofauti.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Amri kuu ya mtu yeyote ambae ni muongo asiwe msahaulifu ama sivyo ataumbuka kama ilivyomtokea Pasco hapa!!!
 
Yaishe basi jamani.
Mtu mzima kateleza hapo! Kwani nyie hamjawahi kusikia msemo usemao Njia ya mwongo ni fupi?
Na huo ni mwanzo tu,yanafuata mengi zaidi.Just relax guys.
 
Pasco, usijitie kuwatisha watu kwa kujifanya unakimbilia sheria/kanuni za JF. Umejiumbua mwenyewe na Mizambwa yeye kapiga mistari kauli zako mbili-kwa ID tofauti zikirejea kitu kimoja. Wewe ndiye Nyamogota.

Katika uzi huu, eti ya kwanza inatolewa na ID ya Nyamigota. Anaposhambuliwa na K.Msese juu ya matumizi ya eti, wewe unaibuka na kutetea. Humtetei Nyamigota kama nafsi ya tatu bali unamtetea kama nafsi ya kwanza. Angalia kauli yako...
"Kwa mujibu wa ile "eti" yangu kule, kwa vile taarifa hizo nimezisikia kutoka source isiyo na uhakika,"

Tuambie wapi katika uzi huu wewe ulitumia 'eti' ikiwa wewe ni mtu wa pili kuchangia na pakiwa na tofauti ya dakika 28 toka mtoa (muanzisha) mada kuiweka? Vinginevyo leo nitajua nitajua Kitabu cha SARUFI na FASIHI cha Fr Nkwera hakikuwa na msaada kwangu zama zile nikisoma Kiswahili darasani.

Shukrani Mkuu Mizambwa, umeona vema. Pasco ndiye Nyamigota hawezi kukana kama ni muungwana. Ila kwa jinsi alivyombishi, bado atakuja na kuendelea kubisha.

JF bana ni Full burudani,acha nitie neno hapo kwenye I'd ya pasco mwisho humalizia na jina lake Pasco na hyo ya (Nyamigota) mwisho nayo ina "P" hata mie Ngasitukaa
 
Wadau, jana kulikuwa na mbwembwe nyingi sana eti waandishi wa habari waliitwa kwenda makao makuu ya CHADEMA kwenda kusikiliza tamko la Sekretarieti ya CHADEMA.

Katika fuatilia yangu kwenye vyombo vya habari, yaani channel zote za taarifa ya habari jana usiku sikuona tamko lolote, leo pia katika kusikiliza magazeti RFA asubuhi hii pia sijasikia kabisa tamko hilo. Je waandishi wa habari hawakupewa posho ya kutoa habari kama walivyozoweshwa na CCM?

Naomba kuwasilisha!
kwani mwanahalisi limefunguliwa?
 
Yaishe basi jamani.
Mtu mzima kateleza hapo! Kwani nyie hamjawahi kusikia msemo usemao Njia ya mwongo ni fupi?
Na huo ni mwanzo tu,yanafuata mengi zaidi.Just relax guys.

Nimefurahi zaidi baada ya kuona Pasco kakugongea "like".
Yameisha mkuu.
 
Tamko hata humu linaweza kuwekwa si lazima tv

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom