Msaada tafadhali wanajf ninahitimu mwezi wa 11, mafunzo ya ICT.Ninaomba mwenye kujua nafasi ya kufanyia field Mjini Musoma naombeni msaada tafadhali ndugu zang wanajf.
Leo radio one taarifa ya habari SAA 2 imeripotiwa kuwa jumla ya watu 6 wameuawa.
Hivi kweli kwa kitendo hicho muhusika aweza kuwa nani ndugu wanajf na watanzania mbona tumeanza kuondokewa na hofu M/Mungu?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.