Haya mauaji mkoa wa Mara nani muhusika?

Haya mauaji mkoa wa Mara nani muhusika?

Alarm

Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
21
Reaction score
3
Leo radio one taarifa ya habari SAA 2 imeripotiwa kuwa jumla ya watu 6 wameuawa.

Hivi kweli kwa kitendo hicho muhusika aweza kuwa nani ndugu wanajf na watanzania mbona tumeanza kuondokewa na hofu M/Mungu?.
 
Ata mimi nimeisikia hiyo habari...ikiwemo ya mtoto kubakwa hadi kufa..Uzuri nipo karibu na hicho kijiji kesho nitaenda kuchukua information...usihofu
 
Ata mimi nimeisikia hiyo habari...ikiwemo ya mtoto kubakwa hadi kufa..Uzuri nipo karibu na hicho kijiji kesho nitaenda kuchukua information...usihofu

Mambo ya ajabu kabisa huko Mara, yanaumiza moyo, watu wa huko kama wanyama..? mbaya zaidi sio tukio moja au mawili, ni mfululizo.. hawa ni watu au.. na matukio ya kutisha kabisa..
 
Huko Mara wamezoea kuuana kila siku na iko damuni kuua kwao ni jambo lakawaida

Thread kama hii yako unapoianzisha uwe mwangalifu sana. Usiandike kitu ambacho jibu la kwanza litakuwa ni matusi. Wengine JF ya jinsi hii itakuja kutushinda.
 
Mambo ya ajabu kabisa huko Mara, yanaumiza moyo, watu wa huko kama wanyama..? mbaya zaidi sio tukio moja au mawili, ni mfululizo.. hawa ni watu au.. na matukio ya kutisha kabisa..
Usihofu hayo yawezekana ni ya kulipana visasi au zulma
 
Ata mimi nimeisikia hiyo habari...ikiwemo ya mtoto kubakwa hadi kufa..Uzuri nipo karibu na hicho kijiji kesho nitaenda kuchukua information...usihofu
Haswa kweli kesho ukizipata hizo data tujuze kwani vitendo vinatutia hofu watz au cio mkuu.
 
Kuna jamaa yangu yupo field mitaa ya huko basi kanihadithia kuna kijana asili yake sio hicho kijiji alienda tu kufanya kazi basi katika shughuli zake akakorofishana na mwenyeji wa hapo katika kushikana mashati vijana wengine wakaingilia la kumkata yule kijana mgeni sikio ugomvi ukaisha ila cha ajabu kuna baadhi ya wenyeji walisikika wakilalamika kwanini ugomvi ule umefanywa mchana kwanini usingesubiri usiku?
 
KUHUSU BINTI WA DARASA LA SABA KUBAKWA NA KUUAWA.::....Hilo suala lilikuwa hivi ..Huyo binti (jina) alikuwa na mahusiano na kijana mmoja (jina) aliyekuwa anajihusisha na shughuli za kusaga na kukoboa nafaka ndani ya hicho kijiji (Rwamkoma) ...Siku ya tukio inasemekana kijana (msagaji)..„Alikuwa amemuhisia vibaya binti kuwa anamchepuko mtaani hapo hivyo alimuita ili amuulize kupata uhakika...lakini ikatokea kupishana kauli na wakaanza kukoromeana ndipo kijana msagaji alipoamua kuchukua uamuzi huo wa KUMPIGA HADI KUMUUA BINTI NA YEYE KUTOKA KWENYE ENEO LA TUKIO KWENDA KUJITOSA KISIMANI NA KUJIUA PIA ....all in all ni mapenzi....Hilo ni kulingana na story za hapa kijijini (Butiama) maana mimi nilibanwa na majukumu ya kikazi ndo maana nilishindwa kwenda kwao hao vijana (Rwamkoma)..ndo maana sikufanikiwa kuyapata majina yao....
 
KUHUSU BINTI WA DARASA LA SABA KUBAKWA NA KUUAWA.::....Hilo suala lilikuwa hivi ..Huyo binti (jina) alikuwa na mahusiano na kijana mmoja (jina) aliyekuwa anajihusisha na shughuli za kusaga na kukoboa nafaka ndani ya hicho kijiji (Rwamkoma) ...Siku ya tukio inasemekana kijana (msagaji)..„Alikuwa amemuhisia vibaya binti kuwa anamchepuko mtaani hapo hivyo alimuita ili amuulize kupata uhakika...lakini ikatokea kupishana kauli na wakaanza kukoromeana ndipo kijana msagaji alipoamua kuchukua uamuzi huo wa KUMPIGA HADI KUMUUA BINTI NA YEYE KUTOKA KWENYE ENEO LA TUKIO KWENDA KUJITOSA KISIMANI NA KUJIUA PIA ....all in all ni mapenzi....Hilo ni kulingana na story za hapa kijijini (Butiama) maana mimi nilibanwa na majukumu ya kikazi ndo maana nilishindwa kwenda kwao hao vijana (Rwamkoma)..ndo maana sikufanikiwa kuyapata majina yao....
Mtoto wa la saba kamchanganya msagaji
 
Mara mauaji
Mwanza, Simiyu na Shinyanga uchawi
Tabora uvivu na umwinyi
Rukwa na Mpanda uchawi
Singida ukahaba
Dodoma uvivu uliopitiliza
Morogoro kuzaa kwenye umri mdogo
Iringa hasira na kujiua
Mbeya fitna, uchawi na mauaji
Songwe uchawi na mauaji ya kuchuna ngozi
Mtwara na Lindi uvivu wa hali ya juu
Ruvuma uzinzi na ulevi
Pwani uzinzi, uvivu na majungu
Tanga majungu na kuendekeza ngono
Kilimanjaro, Manyara na Arusha dhuluma wizi na ulaghai
Kagera dharau, majivuno na uzinzi
Kigoma uchawi
 
Back
Top Bottom