Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,111
Wakuu..
Hii ni mara ya kwanza hili kunitokea.. Nataka nifanye maamuzi... Ila ningependa kupata ushauri humu... Ni kipi cha kuzingatia ili kupiga chini sehemu moja maana zote ni katika mambo niliyosomea... Na kufanya zote labda nipande ndege na uwezo huo sina... Any suggestions?
Hii ni mara ya kwanza hili kunitokea.. Nataka nifanye maamuzi... Ila ningependa kupata ushauri humu... Ni kipi cha kuzingatia ili kupiga chini sehemu moja maana zote ni katika mambo niliyosomea... Na kufanya zote labda nipande ndege na uwezo huo sina... Any suggestions?