Recent content by Al Fayeed

  1. Al Fayeed

    Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

    Kunguni VIP MKUU..... karaha yao.....
  2. Al Fayeed

    Kwa mtazamo wako, ajira gani inatosheleza mahitaji yako yote?

    FAMILIA yako ina idadi ya watu wangapi.. Na je, unadhani unapaswa kuendelea kuwasaidia hata watu wazima ambao ilibidi uwape njia au uwatafutie NJIA za wao kujisadia wenyewe - ILI UPUNGUZE GHARAMA... Watengenezee njia za vipato hao wengine-ILI shid ikitokea, Mnasolve pamoja so hapo Mzigo...
  3. Al Fayeed

    Je, Wakili Albert Msando anafaa ubunge wa Arusha Mjini?

    ha ha ha ha ha.. umeomgea kwa Uchungu saanaa
  4. Al Fayeed

    Kwa huyu jamaa Fid Q na Joh Makini wakajipange sana

    Daaaah... Hiv unamjua Fareed Qubanda au... Ntumie namba yako.. Nikurushie Album ya Kitaaolojia...
  5. Al Fayeed

    Interview ya Nikki Mbishi, Wakazi na P-Mawenge ni ishara kuwa XXL imepoteza dira

    Unajua XXL lazima ipate MAIN ambae atakuwa anacontroll vitu.. Mtu kama adam n mtu wakunogesha, kutia ladha ili kipindi kinoge.. Yeye akiwa Main ana haribu... Ona hata maswali aliyokuwa anamuuliza WAKAZI.. Ona hata muda waliotumia kupiga NGOMA za NIKKI ulikuwa n mwingi na baada ya NGOMA ndo...
  6. Al Fayeed

    Wakulungwa ni akina nani hawa?

    Mjuba ni KIJANA- hiyo hata kwenye KAMUSI ipo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Al Fayeed

    Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

    YULE mzee hata Vijana wake huwa wanamuita DUDU LA YUYUUU..ningefurah saana RUGE angekuwa hai...Nadhan asinge thubutu ..Kwanza akiongeaga huwa hana madin...Tofaut na ILE ukisikia kesho RUGE ana interview attention iwepo...Lazima atatoa madini kadhaa...MZEE CHENGA.....Hata GOT TALENT alishindwa...
  8. Al Fayeed

    Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

    YULE mzee hata Vijana wake huwa wanamuita DUDU LA YUYUUU..ningefurah saana RUGE angekuwa hai...Nadhan asinge thubutu ..Kwanza akiongeaga huwa hana madin...Tofaut na ILE ukisikia kesho RUGE ana interview attention iwepo...Lazima atatoa madini kadhaa...MZEE CHENGA.....Hata GOT TALENT alishindwa...
  9. Al Fayeed

    Wasafi: Media House iliyokosa ubunifu yakinifu

    Sisi Tukiongeaga wanasema ooh WANAJESH WAKOROFI..MARA nyie TEAM KIBA.. lakin ukwel n kwamba Jamaa n MPAMBANAJI LAKIN anafail kwa sasa...HATA watu wanaosemaga HARMONIZE ana MCOPY DIAMOND huwa Nawashangaaga., ..Nakaaga kimya tu kwakuwa ukiongea chochote - watu wanakutupia kwenye UTEAM...WAKAT sisi...
  10. Al Fayeed

    Wala bata wa JF

    Nilitegemea nitaona VYUPA vya Ajajbu vya kikubwa... Una kula Vant then unasema... POMBE imekuloga??.. kwa mujibu wa wanywaji VANT kubwa zimesha anza chakachuliwa ni kama GONGO tu ndo maana zimekuwa adimu.. xaxa kijana una haki ya kutaka kuja DAR.... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Al Fayeed

    HP Monitor for sale

    Hailipi MKUU...@Dampa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Al Fayeed

    HP Monitor for sale

    Display for COMPUTER. 19" size Wide Clean and works Fine Display Only PRICE 85,000/ Serious Buyer CaLL 0682-030046. Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Al Fayeed

    SSD Drive for sale

    On sale M-SATA SSD 512GB cleanest Condition Price 250,000// Dar Es salaam CaLL 0682030046 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom