Wakulungwa ni akina nani hawa?

Wakulungwa ni akina nani hawa?

'Mkulungwa' ni neno lenye asili ya Kimakonde likimaanisha 'Mkubwa' yaan mtu aliyekuzidi umri! Kwa wingi wake ndiyo huwa 'Wakulungwa'.

Neno hilo limechukuliwa kama lilivyo na kutumiwa na Waswahili kuita waliowazidi umri, hivyo ukiitwa mkulungwa haina tofauti sana na mkubwa uwe kaka/baba/mjomba etc!
Vipi na neno Mjuba mkuu?
 
Kama hujui ngeli pambana na hali
Screenshot_20200506-210906_Chrome.jpg


Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Back
Top Bottom