Recent content by AKILI TATU

  1. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Kwani maandamano ni ya Nini!? Je kinachowaafnya kuandamana wewe hakikuhusu au kinakuhusu!? Kama kweli unaumia na kuteseka na maisha ya Sasa..hata CUF wakiitisha maandamano ya kidai Haki Toka junge nao... Kwa Hali ilivyo Sasa hapa Tz na mambo yanayosemwa kama ni ya kweli ( japo ni ya kweli...
  2. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana kuona Dira 2050 Haijazingatia Suala la Maadili, Tamaduni, Mila na Desturi Kwa Kizazi ambacho 2050 ndio watakua Vijana !!

    Nadhani kati ya kitu hakiwezi kupangilika kikapangika ni pamoja na tabia binafsi kama ulivyoandika hapo ..tabia binafsi zinachochwr na maadili kweli...lakini je Dunia ya Sasa unaweza ukacontrol so called maadili!? Ukitaka ucontrol maadili ni pamoja na kuminya ukuaji wa utandawazi na demokrasia...
  3. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Car rental/Tunakodisha Magari

    Bei gani kwa siku
  4. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Hivi CHAUMMA imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi?

    We unataka jinsia au kampani ya kula !?
  5. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kijana wangu anaongea vitu havieleweki, atakuwa na tatizo gani?

    Mwanzo ako na autism…, just nenda naye tararibu
  6. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Tanzania vs South Africa | TotalEnergies U-20 AFCON 2025 | Suez Canal Stadium - Egypt | 30 April 2025.

    Inamaana group la kwanza zinapita timu nne!?
  7. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Ofisi za crown FM zpo wap?

    Ziko mikochen kule zilipo za ITV ukifika mwenge ITV pale muulize Bodaboda..Kila la kheri huko
  8. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Gharama za kufanya repair ya Bafu na Choo

    Sink la kawaida 35000, tiles nzuri kwa level ya mtz wa kawaida boks huuzwa 15000-32000 mara nyingi zinaingia boksi 12-30 , kama utataka uweke water system...andaa kama laki 30000 hivi ...kama hutapandisha tiles mpaka juu kwenye ukuta wa bafu basi utalzimika kununua gypsum cement ambayo mfuko...
  9. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania TANZIA Bilionea Mustafa Sabodo afariki dunia

    Pole sana Kwa wafiwa
  10. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Router gani nzuri kwa matumizi ya ofisi yenye watu zaidi ya 500

    Kwanza nenda na tigo Ile ya 650k ukikosa nenda na ya airtell
  11. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

    Vipi kwani Bei hio ni nyingi au kidogo??
  12. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

    Amna Amna andaaa Milioni 45 Kwa nyumba ya kisasa
  13. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Nashangaa Rais Samia kuteua Boss mpya UDArt tena

    Kumbuka huyu jamaa anaendelea kulipwa mshahra kama aliokuwa akilipwa Bank private , alipoamia TTCL serikalini Kwa kuwa ndio serikali walimtaka obviously alitaka mshahara mkubwa zaidi...TTCl akakunja mshahara mnono...alipopewa ukuu wa mkoa akahama na mshahara wake wa ttcl now yuko Udart kama...
  14. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Tuliomuona Guede ni Garasa tukutane tunamuomba Radhi na pia tukawawambe Makofi waliotumwa Wachovu Fred na Job

    Unahoja....but baleke alipaswa kuondoka huku akiwa anachapwa bakora nyingi Kwa utoto aliokuwa anaufanya Simba.... PHIRI angevumiliwa pengine angekuwa njia Kwa wapya... Kingine hao wote wawili waliachwa kutoa nnafasi ya kusajiliwa hao wawili wapya.. Na dirisha kubwa Kramo ataachwa asajiliwe mayele
Back
Top Bottom