Kwani maandamano ni ya Nini!? Je kinachowaafnya kuandamana wewe hakikuhusu au kinakuhusu!?
Kama kweli unaumia na kuteseka na maisha ya Sasa..hata CUF wakiitisha maandamano ya kidai Haki Toka junge nao...
Kwa Hali ilivyo Sasa hapa Tz na mambo yanayosemwa kama ni ya kweli ( japo ni ya kweli...
Nadhani kati ya kitu hakiwezi kupangilika kikapangika ni pamoja na tabia binafsi kama ulivyoandika hapo ..tabia binafsi zinachochwr na maadili kweli...lakini je Dunia ya Sasa unaweza ukacontrol so called maadili!? Ukitaka ucontrol maadili ni pamoja na kuminya ukuaji wa utandawazi na demokrasia...
Sink la kawaida 35000, tiles nzuri kwa level ya mtz wa kawaida boks huuzwa 15000-32000 mara nyingi zinaingia boksi 12-30 , kama utataka uweke water system...andaa kama laki 30000 hivi ...kama hutapandisha tiles mpaka juu kwenye ukuta wa bafu basi utalzimika kununua gypsum cement ambayo mfuko...
Kumbuka huyu jamaa anaendelea kulipwa mshahra kama aliokuwa akilipwa Bank private , alipoamia TTCL serikalini Kwa kuwa ndio serikali walimtaka obviously alitaka mshahara mkubwa zaidi...TTCl akakunja mshahara mnono...alipopewa ukuu wa mkoa akahama na mshahara wake wa ttcl now yuko Udart kama...
Unahoja....but baleke alipaswa kuondoka huku akiwa anachapwa bakora nyingi Kwa utoto aliokuwa anaufanya Simba....
PHIRI angevumiliwa pengine angekuwa njia Kwa wapya...
Kingine hao wote wawili waliachwa kutoa nnafasi ya kusajiliwa hao wawili wapya..
Na dirisha kubwa Kramo ataachwa asajiliwe mayele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.