Nashangaa Rais Samia kuteua Boss mpya UDArt tena

Nashangaa Rais Samia kuteua Boss mpya UDArt tena

Udart ina shida ya mabasi ila Raisi analeta Maboss tu ila magari hanunui , Rc Tanga baada ya kuondilewa kaja kupewa Uboss Udart

Nimejiuliza sana huu uteuzi ni wa kusaidia wananchi au mtu kawekwa tu kupooza machungu, hii ndio Tz
RC ni mtaaluma gani? sociologist anakwenda kwenye bishara ya usafirishaji
 
Udart ina shida ya mabasi ila Raisi analeta Maboss tu ila magari hanunui , Rc Tanga baada ya kuondilewa kaja kupewa Uboss Udart

Nimejiuliza sana huu uteuzi ni wa kusaidia wananchi au mtu kawekwa tu kupooza machungu, hii ndio Tz
Wanagawana tu nafasi za kula kulingana na urefu wa kamba zao
 
miradi ya ku copy na ku paste ndio inakuaga kama hii yaani sarakasi mwanzo mwisho, we imagine kwenye njia hayo mataka taka yako pekeyao abiria sio wakutafuta lakini yanashindwa yanafuga vitambi tu maaneeeneer zao , mimi sijui nchi hiyo nini kinawezekana zaidi ya uchawa tu. Hapo hakuna muujiza ni kununua Mabasi yakutosha na kuyasimamia vyema full stop, na pia walete kadi masuala ya upigaji na matiketi ya kwenye mandoo yaondolewe, yaani kuna vitu wala havihitaji hata Diploma ni basi tu tumerogwa na aliyeturoga kafa.
 
Tanzania tuna uzoefu wa kutosha wa kuendesha biashara zisizo na ushindani kwa hasara. Tangu wakati wa Mwalimu hadi sasa. NMC, UGAWAJI, TANESCO, TTCL, RELI, UDA, NBC, BREWERIES.
 
Hapo raisi menejiment,yote angeweka wazungu,harafu huku chini ndo angeweka wabongo
 
Tanzania kazi zipo tatizo kupata wafanya kazi wazuri.
Anzisha mradi wowote, mpe msomi wa PhD uone utakavyolia na kusaga meno.
 
Pia madereva waongezewe allowances kutasiaidia kuboresha huduma
 
Kusoma alama za nyakati ni kuzuri sana, UDART ilikuwa inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa kwenye masuala ya uwekezaji, uendeshaji na uongozi na sifa hizo zote kindamba anazo.

Waziri kindamba akiwa Mkurugenzi mkuu wa TTCL alisaidia kulipa matumaini shirika na zaidi aliinga TTCL akitokea kwenye taasisi za benki hivyo ana uwezo mzuri katika kukuza mitaji na uwekezaji.

Naamini atasaidia vya kutosha kuwezesha mamlaka kusonga mbele Kwa kuongeza uwekezaji na kusimamia uendeshaji Kwa faida zaidi.

Uteuzi bora na wa kupongezwa
Anakwenda kusimamia "daladala" za mwendo kasi.
 
Pamoja na UDART kununua mabasi mapya. Nilazima kuwa na mfumo wenye uwezo wa kupata realtime data za wanunuzi wa tiket kila kituo. Kumekuwepo na changamoto ya kufanya optimization kulingana na abiria waliopo kwenye vituo katika muda husika.

Ukienda kwenye vituo kama cha Muhimbili unakuta mabasi yanayoenda kariakoo jioni ni mengi zaidi ya yanayo enda mbezi. Wakati huo abiria wa kariakoo ni wachache. Basi limepaki kusubiri abiria wakati wanaoenda mbezi wamesongamana kwenye mstari hakuna Basi.


Mabasi yasiwe na route ambayo ni parmanent. Route ibadilike kulingana na optimal load itakavyo elekezwa kwenye mfumo.

Ni rahisi kuja na hii solution kwani unaweza kujua idadi abiria na uelekeo wa abiria kulingana na tiketi zilizouzwa.
 
Atleast shirika litamove vizuri kwasasa....UDART wanasoko kubwa sana ,tatioz magari hawana ,madereva hawajui wanachokifanya ,utakuta kituo kina watu kibao wa route flani ,gari linakuja la route lingine haina watu linaondoka empty bila abiria wakati ilitakiwa achukue wale waliojaa na kuondoka ,utakuta magari yamepark kituoni halafu abiria kibao.

Kindama abadili mentality ya madereva wawe wanajiongeza wasifanye kazi kuivivu uvivu.
 
Point sana mkuu
Pamoja na UDART kununua mabasi mapya. Nilazima kuwa na mfumo wenye uwezo wa kupata realtime data za wanunuzi wa tiket kila kituo. Kumekuwepo na changamoto ya kufanya optimization kulingana na abiria waliopo kwenye vituo katika muda husika.

Ukienda kwenye vituo kama cha Muhimbili unakuta mabasi yanayoenda kariakoo jioni ni mengi zaidi ya yanayo enda mbezi. Wakati huo abiria wa kariakoo ni wachache. Basi limepaki kusubiri abiria wakati wanaoenda mbezi wamesongamana kwenye mstari hakuna Basi.


Mabasi yasiwe na route ambayo ni parmanent. Route ibadilike kulingana na optimal load itakavyo elekezwa kwenye mfumo.

Ni rahisi kuja na hii solution kwani unaweza kujua idadi abiria na uelekeo wa abiria kulingana na tiketi zilizouzwa.
 
TTCL hii ambayo imeshafutika katika mashirika ya kutoa huduma za mawasiliano
Walipewa mkongo kwa miaka mingi ambao unaweza kukusanya kodi za mabilioni wapo wapo tu?
huku tunaendelea kukimbizana na wamachinga walipe kodi......
Watu wanakomba pesa za mifuko ya hifadhi za jamii na kuamua kuwanyanyasa watumishi sembuse hayo mabilioni ya TTCL wanayoingiza kupitia mkongo. Hii nchi ina mambo mengi sana ambayo ukiwa nje huwezi kuyajua.
 
Labda aje na maono ya kuindesha UDART kwa ubia! Vinginevyo sijui.
Changamoto iliyopo ni uchache wa Mabasi si vinginevyo!
 
Udart ina shida ya mabasi ila Raisi analeta Maboss tu ila magari hanunui , Rc Tanga baada ya kuondilewa kaja kupewa Uboss Udart

Nimejiuliza sana huu uteuzi ni wa kusaidia wananchi au mtu kawekwa tu kupooza machungu, hii ndio Tz
Kazi ya boss wa Udart ni nini kama sio hiyo?
 
Ningekuwa CEO mpya la kwanza kabisa ningeenda NIT Mabibo, kutafuta Profesa anaekumbuka au records zilizopo, kama kuna mtu aliwahi ku document, zinazoelezea KWA NINI KAMATA NA UDA ZILIKUFA.
 
Kumbuka huyu jamaa anaendelea kulipwa mshahra kama aliokuwa akilipwa Bank private , alipoamia TTCL serikalini Kwa kuwa ndio serikali walimtaka obviously alitaka mshahara mkubwa zaidi...TTCl akakunja mshahara mnono...alipopewa ukuu wa mkoa akahama na mshahara wake wa ttcl now yuko Udart kama kule mshahara ni mdogo obviously atalipwa mshahara kama aliokuwa akilipwa TTCl...
 
Nafikiri tatizo ni usimamizi aliyekuwepo hakuwa na usimamizi mzuri ndio sababu ya kutenguliwa
 
Back
Top Bottom