Ni kama wafanyakaz wa NIDA mtwara, hata salamu haitikii, wamekunja uso kama vinyago vya kimakonde...,kazi ambayo hata mwanafunz wa kidato cha kwanza ukimuelekeza ndan ya wik moja anaifanya kwa ufanisi, ila wao wanajiona special... Wa****sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.