Recent content by AKAN

  1. AKAN

    Nani au gari ipi itaruhusiwa kupita/kuanza safari kwanza

    Nani au gari ipi itaruhusiwa kupita/kuanza safari kwanza... Mtizamo /mtazamo wangu : Presidential car (gari ya rais/kiongozi) Sababu :...... Sina
  2. AKAN

    RC Iringa: Kuna maafisa wanafokea wananchi, kama huna majibu ya maswali aliyokuuliza mwananchi usimfokee

    Ni kama wafanyakaz wa NIDA mtwara, hata salamu haitikii, wamekunja uso kama vinyago vya kimakonde...,kazi ambayo hata mwanafunz wa kidato cha kwanza ukimuelekeza ndan ya wik moja anaifanya kwa ufanisi, ila wao wanajiona special... Wa****sana.
  3. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kujipa pole ni muhim nmo
  4. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hola... Bilabila
  5. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    poa poa mkuu...., mi bado nasubir, wa mwezi July waliniwekea saa kumi jion
  6. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Sita kasoro... Ubao unasoma zero
  7. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Au nihame wizara 😁😁😁
  8. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ukishafika 3rd floor ujuwe wewe ni mzee tayar... Sawa mzee mwenzangu...!!!?
  9. AKAN

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    nipo hapa kusubiri maamuzi ya hazina
Back
Top Bottom